Je nikosa kuua huyu nyoka ?

Je nikosa kuua huyu nyoka ?

baharia 1

JF-Expert Member
Joined
Sep 13, 2019
Posts
1,778
Reaction score
2,052
Habari wajuzi naomba nijibiwe swali langu hili ?

Je nikosa kumuua nyoka kama huyu kwenye sehemu ya mgodi ?

Kama ni kosa je kwanini ?
1755630915509.jpg
 
Ndio.
Sheria ya kuwalinda wanyama inamtaka kila mwananchi kutoa taarifa kwa mamlaka ili maafisa waje wamrudishe porini.... Sio huyo tu bali hata kenge, mamba, Simba nk
 
Habari wajuzi naomba nijibiwe swali langu hili ?

Je nikosa kumuua nyoka kama huyu kwenye sehemu ya mgodi ?

Kama ni kosa je kwanini ?View attachment 3446574
Ni kosa kwasababu mgodi ndio ulivamia makazi ya nyoka.
Ok, hilo ni kosa kwasababu nyoka ndie alianza kuishi kwenye mazingira hayo kabla ya mgodi.
Hivyo ni vizuri ukafuata masharti ya utunzaji wa mazingira na wanyama.
Ungewaita wahusika wangemuhamisha huyo nyoka mkuu
 
Jamani huu Uzi mbona unazunguka sana mwenye aliandika mwanzo alisema nikosa wewe tena unauliza...😳
 
Eneo la mgodi gani kwanza,....migodi mingi mikubwa inafuata sheria za utunzaji wa mazingira pamoja na viumbe vilivyomo, na huwa kuna kitengo cha mazingira ambao hushughulika na hizo issue ukimuona nyoka unawaita iwe kwa simu au two ways radio wanafika wanamkamata wanampeleka anakostahili
 
Back
Top Bottom