maisha na pesa
Member
- Jul 29, 2014
- 55
- 33
Sayansi imeshindwa jambo moja la msingi sana ambalo ni
1. KUHAISHA.
Sayansi imeshindwa kutengeneza Uhai, iwe wa mnyama au mmea.
dini ni imani na kamwe sayansi haijajitenga na dini tatizo ni vigumu kuprove na ndo maana kuna baadhi ya vitu kama chanzo cha uhai hadi mungu amehusishwa ref. theories of origin of the universe.
kwenye sayansi kuna laws and theories ukisikia theory ujue haijawa proven na unaweza kuichallenge otherwise au kuiboresha lakini still vizazi vijavyo vinatakiwa kusoma hata yenye mapungufu
Mfano theories of evolution kuna akina lamark,darwin,neo-darwinism and co kila moja utajifunza strengths zake na weakness pia.
Ukija kwenye laws mpaka iitwe law ujue lazima kuna proof ila sababu wengi humu either wameishia ordinary level kwenye sayansi au ushabiki wa kidini wanajitoa ufahamu.
Kuna mifano mingi sana sayansi ya akina aristotle siyo sawa na ile ya akina Einstein.
Sayansi imeshindwa jambo moja la msingi sana ambalo ni
1. KUHAISHA.
Sayansi imeshindwa kutengeneza Uhai, iwe wa mnyama au mmea.
Hii inaonesha Mwanadamu sio zao la Sayansi.
Hii inaonesha Sayansi sio msingi wa maisha ya viumbe, na maisha kwa ujumla wake.
Hii inaonesha Sayansi sio taaluma ya kuitegemea sana katika maisha.
2. Sayansi imeshindwa kuhudumia viumbe kwa asilimia mia moja.
Yaani Sayansi imeshindwa kutibu baadhi ya magonjwa yanayomkabili binadamu na viumbe vingine.
Yaani Sayansi imeshindwa kufufua viumbe vilivyokufa ili kuvirejesha katika hali ya uzima ya mwanzo.
Yaani Sayansi imeshindwa kuzuia baadhi ya majanga yanayosababishwa na nguvu za asili kama Matetemeko ya Ardhi, Vimbunga vya El-Niño, mvua za Gharika nk.
Sayansi imeshindwa kutoa majibu kuhusu masuala ya mahusiano ya Sayari kubwa, mfano.
Haisemi Jua likiharibika litarekebishwaje.
Haisemi msingi wa Sayari kuelea bila kushikiliwa na mihimili au nguzo zenye nguvu. Inasingizia kuwa nguvu za Gravity ndizo zinazoshikilia Sayari lakini haisemi hiyo Gravity imeegemea kwenye kitu gani kinachoipa nguvu ya kushikiria hizo Sayari zote.
Sayansi imeshindwa kueleza kwa ufasaha nini Chanzo na Hatima ya Uhai.
Sayansi ilichofanikiwa ni kubuni nyenzo za kufanyia kazi, kwa kiwango cha kawaida maana kazi bado inaendelea ya kubuni nyenzo za kumuwezesha binadamu kufanya kazi zake kwa urahisi zaidi bila kuvitegemea sana viungo vyake.
Sayansi ilichofanikiwa kiasi ni kurekebisha hizo nyenzo za kifanyia kazi na kutibu baadhi ya maradhi yanayomsumbua Binadamu na viumbe vingine.
Sayansi imeshindwa kujibu maswali ya msingi sana katika maisha.
Nani aliyeasisi Uhai ?
Nani alimtengeneza Binadamu ?
Binadamu yupo kwa ajiri gani ?
Ulimwengu anaoishi Binadamu umetengenezwa na nani ?
Unaisha lini ? (expire date yake)
Nini hatima ya maisha ?
Hapa bila shaka kuna hoja ya msingi sana ya kudadisi maisha zaidi ya majibu ya Wanasansi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sayansi imeshindwa jambo moja la msingi sana ambalo ni
1. KUHAISHA.
Sayansi imeshindwa kutengeneza Uhai, iwe wa mnyama au mmea.
Hii inaonesha Mwanadamu sio zao la Sayansi.
Hii inaonesha Sayansi sio msingi wa maisha ya viumbe, na maisha kwa ujumla wake.
Hii inaonesha Sayansi sio taaluma ya kuitegemea sana katika maisha.
2. Sayansi imeshindwa kuhudumia viumbe kwa asilimia mia moja.
Yaani Sayansi imeshindwa kutibu baadhi ya magonjwa yanayomkabili binadamu na viumbe vingine.
Yaani Sayansi imeshindwa kufufua viumbe vilivyokufa ili kuvirejesha katika hali ya uzima ya mwanzo.
Yaani Sayansi imeshindwa kuzuia baadhi ya majanga yanayosababishwa na nguvu za asili kama Matetemeko ya Ardhi, Vimbunga vya El-Niño, mvua za Gharika nk.
Sayansi imeshindwa kutoa majibu kuhusu masuala ya mahusiano ya Sayari kubwa, mfano.
Haisemi Jua likiharibika litarekebishwaje.
Haisemi msingi wa Sayari kuelea bila kushikiliwa na mihimili au nguzo zenye nguvu. Inasingizia kuwa nguvu za Gravity ndizo zinazoshikilia Sayari lakini haisemi hiyo Gravity imeegemea kwenye kitu gani kinachoipa nguvu ya kushikiria hizo Sayari zote.
Sayansi imeshindwa kueleza kwa ufasaha nini Chanzo na Hatima ya Uhai.
Sayansi ilichofanikiwa ni kubuni nyenzo za kufanyia kazi, kwa kiwango cha kawaida maana kazi bado inaendelea ya kubuni nyenzo za kumuwezesha binadamu kufanya kazi zake kwa urahisi zaidi bila kuvitegemea sana viungo vyake.
Sayansi ilichofanikiwa kiasi ni kurekebisha hizo nyenzo za kifanyia kazi na kutibu baadhi ya maradhi yanayomsumbua Binadamu na viumbe vingine.
Sayansi imeshindwa kujibu maswali ya msingi sana katika maisha.
Nani aliyeasisi Uhai ?
Nani alimtengeneza Binadamu ?
Binadamu yupo kwa ajiri gani ?
Ulimwengu anaoishi Binadamu umetengenezwa na nani ?
Unaisha lini ? (expire date yake)
Nini hatima ya maisha ?
Hapa bila shaka kuna hoja ya msingi sana ya kudadisi maisha zaidi ya majibu ya Wanasansi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sayansi imeshindwa jambo moja la msingi sana ambalo ni
1. KUHAISHA.
Sayansi imeshindwa kutengeneza Uhai, iwe wa mnyama au mmea.
Hii inaonesha Mwanadamu sio zao la Sayansi.
Hii inaonesha Sayansi sio msingi wa maisha ya viumbe, na maisha kwa ujumla wake.
Hii inaonesha Sayansi sio taaluma ya kuitegemea sana katika maisha.
2. Sayansi imeshindwa kuhudumia viumbe kwa asilimia mia moja.
Yaani Sayansi imeshindwa kutibu baadhi ya magonjwa yanayomkabili binadamu na viumbe vingine.
Yaani Sayansi imeshindwa kufufua viumbe vilivyokufa ili kuvirejesha katika hali ya uzima ya mwanzo.
Yaani Sayansi imeshindwa kuzuia baadhi ya majanga yanayosababishwa na nguvu za asili kama Matetemeko ya Ardhi, Vimbunga vya El-Niño, mvua za Gharika nk.
Sayansi imeshindwa kutoa majibu kuhusu masuala ya mahusiano ya Sayari kubwa, mfano.
Haisemi Jua likiharibika litarekebishwaje.
Haisemi msingi wa Sayari kuelea bila kushikiliwa na mihimili au nguzo zenye nguvu. Inasingizia kuwa nguvu za Gravity ndizo zinazoshikilia Sayari lakini haisemi hiyo Gravity imeegemea kwenye kitu gani kinachoipa nguvu ya kushikiria hizo Sayari zote.
Sayansi imeshindwa kueleza kwa ufasaha nini Chanzo na Hatima ya Uhai.
Sayansi ilichofanikiwa ni kubuni nyenzo za kufanyia kazi, kwa kiwango cha kawaida maana kazi bado inaendelea ya kubuni nyenzo za kumuwezesha binadamu kufanya kazi zake kwa urahisi zaidi bila kuvitegemea sana viungo vyake.
Sayansi ilichofanikiwa kiasi ni kurekebisha hizo nyenzo za kifanyia kazi na kutibu baadhi ya maradhi yanayomsumbua Binadamu na viumbe vingine.
Sayansi imeshindwa kujibu maswali ya msingi sana katika maisha.
Nani aliyeasisi Uhai ?
Nani alimtengeneza Binadamu ?
Binadamu yupo kwa ajiri gani ?
Ulimwengu anaoishi Binadamu umetengenezwa na nani ?
Unaisha lini ? (expire date yake)
Nini hatima ya maisha ?
Hapa bila shaka kuna hoja ya msingi sana ya kudadisi maisha zaidi ya majibu ya Wanasansi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu,unachangia jukwaa lenye watu tofaut na level tofaut za kielimu kama hujui ni bora ukae kimya hapo kwenye proton na electron kasome models hizi bohr atomic model na quantum atomic model utaelewa ndo urudi kuchangia tena!