Je ni usafi au air pollution?

Je ni usafi au air pollution?

name of names

Member
Joined
Aug 13, 2015
Posts
35
Reaction score
5
Wadau salaam. Nimeona tu nitoe mtizamo wangu juu ya zoezi la usafi linaloendelea hapa nchini.

Rais wetu mpendwa Dr. John P. Magufuli amefanya jambo la maana sana kwamba siku hii ya kumbukumbu ya uhuru wa Tanganyika tutumie kwa kufanya usafi wa mazingira yetu.

Hofu yangu ni watu waliowengi wanatekeleza agizo hilo bila kuzingatia uchafuzi wa hali ya hewa.

Kila kona hapa jihini dar kumetanda moshi. Tusije tukasafisha ardhi tukachafua anga.
Vyote viende pamoja, usafi wa mazingira bila kusababisha air pillution.
 
Ulitaka wafanye nini kama mbadala wa kuzichoma?
 
Yaani leo Dar ni shigda ni full mimoshi.
 
Sijaona moshi wa kupitiliza,acheni uongo
 
Hapa nilipo kuna moshi mwingi sana. Kusema kweli mleta mada umeniwahi tu. Nami nimeliona hili
 
Back
Top Bottom