Mzalendo_Mkweli
JF-Expert Member
- Jan 30, 2012
- 2,056
- 1,303
Habari ndg wa JF,
Mimi natumia king'amuzi ambamo mojawapo ya channel iliyokuwepo ni CNN. Kuanzia mwezi huu channel ya CNN haionyeshwi tena katika hicho Kingámuzi na badala yake wameweka channel iitwayo France International.
Nilipowasiliana na wahusika waliniambia kuwa DSTV wamepewa exclusive Right ya kuonyesha CNN katika ukandaa huu ambapo mimi nimetilia shaka majibu haya. Naomba kuwauliza ndugu mnaotumia Digtech, Continental, Zuku, Startimes nk je hakuna King'amuzi chochote kinachoonyesha CNN?
Kwa wale mlio na ufahamu wa mambo haya ya mawasiliano, Je ni sahihi DSTV kuwa na Exclusive Right ya kuonyesha channel Fulani e.g. BBC, CNN, Aljazeera etc AU hawa wahusika wa hiki King'amuzi wamekwepa ghrama na kwamba hapa wanatumia uongo kuficha huo ukweli?
Nawasilisha.
Mimi natumia king'amuzi ambamo mojawapo ya channel iliyokuwepo ni CNN. Kuanzia mwezi huu channel ya CNN haionyeshwi tena katika hicho Kingámuzi na badala yake wameweka channel iitwayo France International.
Nilipowasiliana na wahusika waliniambia kuwa DSTV wamepewa exclusive Right ya kuonyesha CNN katika ukandaa huu ambapo mimi nimetilia shaka majibu haya. Naomba kuwauliza ndugu mnaotumia Digtech, Continental, Zuku, Startimes nk je hakuna King'amuzi chochote kinachoonyesha CNN?
Kwa wale mlio na ufahamu wa mambo haya ya mawasiliano, Je ni sahihi DSTV kuwa na Exclusive Right ya kuonyesha channel Fulani e.g. BBC, CNN, Aljazeera etc AU hawa wahusika wa hiki King'amuzi wamekwepa ghrama na kwamba hapa wanatumia uongo kuficha huo ukweli?
Nawasilisha.