Je, Ni lazima mwanamke afike kileleni kila mnapofanya mapenzi?

Kwan ww nani aliiye kuambia km kuna kilele???? Ndo umeoa juzi au Bujibuji???? Unakula chakula ili kushiba au ili uishe kwny sahani???
Sasa najibu km Mchungaji, tunafundisha kwamba ni vema na inapendeza kwa wanandoa kuulizana km mwenzi ameridhika pale mnapomaliza TENDO LA NDOA. Na kama mmoja atasema bado, basis ni LAZIMA KUMTIMIZIA MWENZAKE.

Umeelewa hapo ww bujibuji??? Na wengine TAFADHALI MZINGATIE HILO KWA JINA LA YESU KRISTO
 
Kwan ww nani aliiye kuambia km kuna kilele???? Ndo umeoa juzi au Bujibuji???? Unakula chakula ili kushiba au ili uishe kwny sahani???
Sasa najibu km Mchungaji, tunafundisha kwamba ni vema na inapendeza kwa wanandoa kuulizana km mwenzi ameridhika pale mnapomaliza TENDO LA NDOA. Na kama mmoja atasema bado, basis ni LAZIMA KUMTIMIZIA MWENZAKE.

Umeelewa hapo ww bujibuji??? Na wengine TAFADHALI MZINGATIE HILO KWA JINA LA YESU KRISTO
Mchungaji katika ubora wako....
 
Kwan ww nani aliiye kuambia km kuna kilele???? Ndo umeoa juzi au Bujibuji???? Unakula chakula ili kushiba au ili uishe kwny sahani???
Sasa najibu km Mchungaji, tunafundisha kwamba ni vema na inapendeza kwa wanandoa kuulizana km mwenzi ameridhika pale mnapomaliza TENDO LA NDOA. Na kama mmoja atasema bado, basis ni LAZIMA KUMTIMIZIA MWENZAKE.

Umeelewa hapo ww bujibuji??? Na wengine TAFADHALI MZINGATIE HILO KWA JINA LA YESU KRISTO
Round ya kwanza atakwambia amefika, anahitaji mapumziko, baadae tena mtafanya weee hadi unajisikia kuumwa, anasema dear me bado endelea tuu, hapo mmefanya masaa manne mfululizo, kesho ukifika ofisini umechoka kabla haujaanza hata kazi yenyewe
 
Nilipata kusikia kati ya maswali kina dada wanachukia kuulizwa haswa akiwa katikati ya mechi ni ''Darling umeshako..a nasikia huwa wanatamni kukutukana ni vile tu hawana namna...
 
Back
Top Bottom