Je, ni lazima kumgaramia mpenzi wako wa kike kwa kila kitu mnapokua katika hatua ya urafiki na uchumba?

Kama ni uchumba hule wa zamani basi hata usipo mgharamia hakuna shida kabisa.

Lakini kama ni uchumba wa kisasa ambapo uchumba/urafiki unaambatana na kila kitu wafanyacho mme na mke lazima kumgharamia ndiyo.

Yaani ukitaka sex unamwita anakuletea unatia. Ukitaka apike, afue, nk anakuja na kufanya yote hayo alafu eti usigharamikie huyo binti atakuwa siyo wa kisasa kabisa na hafai kuwa mke. Yaani analiwa na kutumikishwa bure bure.

Mchumba wa hivyo yaani mchumba with marital benefit hata mkitibuana kila mtu akaenda njia yake kidume huna haki ya kumdai chochote maana mlikuwa mnapeana. Yeye anakupa nonino yake unamfukua kama mke wako na wewe unagharamia kama mme wake.
 
1.Usihudumie bali...toa msaada inapobidi
2.kuna faida zake kuwa na mahisiano na mwanamke bikra....
 
Kweli Bongo Kuna Vichwa Maji wengi Mada ya Mwaka Jana,, Baharia katoa Ushauri Wake Leo.


Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
tumia akili,,,ndio ni uzi wa mwaka jana ila ni mwezi wa ngapi??...

Uzi ni wa 12 oct.2019-,,, ukihesabu mpaka sasa ni takribani miezi 6 mpaka7 ivi... yaani sawa na mtu atoe uzi Mwezi wa 1 mwaka huu 2020,, ujibu mwezi wa 7.... TATIZO LIKO WAPI HAPO?
 
Mhudumie Ila lazima uwe unapewa na tunda
Wadau je ni lazima kumgaramia mpenzi wako wa kike kwa kila kitu mnapokua ktk hatua ya urafiki na uchumba?

Mathalani kumnunulia sim,kumlipia kodi & billz,zawadi za hapa na pale ilihali hautambuliki kwao! Je ikitokea akakumwaga na umewekeza kwake je waweza ku muv on na ukwamwacha na asset ulizomnunulia? Au ndo utampokonya?

Kusema kwel ktk hatua hii ya uchumba wanaume tunatumika sana mpaka tunasahau kununua boxer! Kwangu mimi binafsi hua sielewi mana kuna mwengine ukiwa nae ktk mahusiano hataki umgaramie,ila sasa kuna walee..sim yangu ipo kwa fundi,mama anaumwa,nitumie ya chai,nataka kusuka,mwengine akija gheto ndo anafungasha unga,sukar mpaka mafuta!

Hii ya kufungasha vitu ulivovikuta ndan sio tabia nzur hata kidogo,wengine wanachuku ampaka t shirt,pazia na mashuka!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama ni uchumba hule wa zamani basi hata usipo mgharamia hakuna shida kabisa.

Lakini kama ni uchumba wa kisasa ambapo uchumba/urafiki unaambatana na kila kitu wafanyacho mme na mke lazima kumgharamia ndiyo.

Yaani ukitaka sex unamwita anakuletea unatia. Ukitaka apike, afue, nk anakuja na kufanya yote hayo alafu eti usigharamikie huyo binti atakuwa siyo wa kisasa kabisa na hafai kuwa mke. Yaani analiwa na kutumikishwa bure bure.

Mchumba wa hivyo yaani mchumba with marital benefit hata mkitibuana kila mtu akaenda njia yake kidume huna haki ya kumdai chochote maana mlikuwa mnapeana. Yeye anakupa nonino yake unamfukua kama mke wako na wewe unagharamia kama mme wake.
nimehangaika na mtu miaka kumi leo hii na kumfanyia kila kitu but mwaka huu last week kaniambia kaoa mtu mwngine
 
so huu ujinga wa kumfanyia kila kitu as a wife sitofanya tena kwa mahusiano ya jao
 
so huu ujinga wa kumfanyia kila kitu as a wife sitofanya tena kwa mahusiano ya jao
Ukiona umekaa kwenye uchumba Zaid ya miaka mitatu hujue hapo hakuna ndoa mna potezeana muda tu tena ukute hamja fanya malengo yoyote ya kiuchumi
 
nimehangaika na mtu miaka kumi leo hii na kumfanyia kila kitu but mwaka huu last week kaniambia kaoa mtu mwngine
Miaka kumi? Mlikuwa hampendan mlikuwa mna potezeana muda ili mmoja wapo akipata mtu sahii amuache mwenzake.
 
Wadau je ni lazima kumgaramia mpenzi wako wa kike kwa kila kitu mnapokua ktk hatua ya urafiki na uchumba?

Mathalani kumnunulia sim,kumlipia kodi & billz,zawadi za hapa na pale ilihali hautambuliki kwao! Je ikitokea akakumwaga na umewekeza kwake je waweza ku muv on na ukwamwacha na asset ulizomnunulia? Au ndo utampokonya?

Kusema kwel ktk hatua hii ya uchumba wanaume tunatumika sana mpaka tunasahau kununua boxer! Kwangu mimi binafsi hua sielewi mana kuna mwengine ukiwa nae ktk mahusiano hataki umgaramie,ila sasa kuna walee..sim yangu ipo kwa fundi,mama anaumwa,nitumie ya chai,nataka kusuka,mwengine akija gheto ndo anafungasha unga,sukar mpaka mafuta!

Hii ya kufungasha vitu ulivovikuta ndan sio tabia nzur hata kidogo,wengine wanachuku ampaka t shirt,pazia na mashuka!
unamuhudumia kwa kila kitu kwenye yeye hana shughuli ya kufanya? kwani yeye ni mkeo kama ni mkeo ndio unafull responsibility ya kumhudumia bila hivyo hakuna una msaidia vitu vidogo kama vocha mara moja kwa mwezi hata kama una uwezo unabana maana hujui anachowaza siku akikuacha trust me hela zako zitakuuma kuliko hata kuachwa kwenyewe motto; kama hujamvalisha pete ya ndoa sio jukumu lako yuko chini ya wzazi wake
 
Mie nafikiria ni lazima kuwe na mipaka. Sio kila kitu cha kufanya wakati bado ndio kwanza ni wachumba. Beba majukumu ya wachumba na sio mume. Ukijibebesha majukumu ya mume matokeo yake utapata wanawake ambao watakuja kuchuma tu. Na akiingia kwenye ndoa, atataka muendelee kuhongana kama mwanzo jambo ambalo halitawezekana. Matokeo yake ni ugomvi na kuanza kuhisiwa una mwingine, ama sasa huna pesa na mambo mengi mengine. Mwisho ni ndoa kuvunjika au wewe kushinda baa na kurudi usiku na siku moja moja ukalale kwa mchepuko ujipatie taji la uzinzi HIV.
Kila unachofanya tazama madhara ya mbeleni zaidi.
 
Back
Top Bottom