Je, ni kweli yametimia ?

Mkuu, Kamaanisha kuw:- Wamarekani watakapo kuwa na Rais Mweusi na Dunia itakapo kuwa na Pope Mlatino ndipo watakuja kujikomba kwetu!!!
Na hili ni kweli neno lake limetimia, Raisi wa Marekani ni Mweusi na sasa Papa wa Kanisa Katoliki ni Mlatino kutoka Argentina!
 
Na hili ni kweli neno lake limetimia, Raisi wa Marekani ni Mweusi na sasa Papa wa Kanisa Katoliki ni Mlatino kutoka Argentina!
Lakini maneno hayajazi tumbo wa kuvisha nguo !! SIASA NI MASILAHI tu binafsi!!
 
Lakini maneno hayajazi tumbo wa kuvisha nguo !! SIASA NI MASILAHI tu binafsi!!
Ni kweli kabisa maneno hayajazi tumbo wala kuvisha nguo. Halahala wasije wakaingizwa mkenge. Cuba ilitaka kutawaliwa na Mafioso, Fidel akawafukuza sasa wasije wakatafuta gia nyingine ya kukiendesha kile kisiwa. Kule Amerika ya Kusini wanawachagulia viongozi nani atawale na nani ang'olewe. Unaiona Vienezula, walikuwa na hali nzuri sana kipindi cha Hugo Chavez, sasa nchi imeigiliwa na USA uchumi umeanza kudorala.
 
Maneno yako fika kbs... Hawa jamaa hawakati tamaa..!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…