Tanzanite klm
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 453
- 376
Habari za wasaa huu!
Tanzania sasa imefikia kundi la mataifa yaliyo uchumi wa kati lakini sasa tunahitaji juhudi na mikakati mingi zaidi iliyo kabambe kuwea kufikia uchumi wa juu tuwe kundi moja na Singapore au Uingereza.
Tumekua na kasumba kuwa lazima tuwe na watu wenye degree wengi sana mitaani, lakini tatizo ni kuwa tuna graduates wengi wasio ajirika na productivity yao ipo chini.
Ben Shapiro amewahi zungumzia katika kitabu chake kimoja namna elimu ya chuo kikuu imegeuka na kuwa biashara na nlengo lake hasa sio kumtengeneza mtu bali ni kutengeneza kitu.
Katika dunia tunayoishi sasa iliyojaa mparanganyiko wa kila namna tunahitaji elimu inayomtoa mtu mwenye fikra yakinifu na anayeweza kwenda na usasa.
JE, TUNAHITAJI UTITIRI WA VYUO VINAVYOTOA DEGREE?
Tunahitaji vyuo vya ufundi vya kutosha, jamii ya DIT, vyuo vya VETA vya kutosha, baada ya hapo tutahitaji wataalamu wa masuala ya biashara. Wataalamu wenye uzoefu mkubwa katika masuala ya biashara za kimataifa ili kusaidia hawa wanaomaliza VETA kuanzisha miradi yao mikubwa.
WE NEED MORE:
POLYTECHNICS UNIERSITY
VOCATIONAL EDUCATION COLLEGES
Pia serikali serikali kama inatoa fedha nyingi kama mikopo kwa wanafunzi wa vyuo vikuu ni kitu kizuri ila pia serikali iangalie utaratibu wa kutoa ruzuku au mikopo kwa wanafunzi wanaomaliza vyuo vikuu waweze kufungua miradi mikubwa lakini wawe chini ya uangalizi maalumu.
SIDO ipewe nguvu kubwa, SIDO inaweza kutupeleka mbali sana ikipewa nguvu.
Mafundi wana mchango mkubwa sana katika ujenzi wa hii nchi yetu na dunia kwa ujumla.
Mafundi walio soma Veta na ma engeneer wa vyuo vya kati.
Tanzania sasa imefikia kundi la mataifa yaliyo uchumi wa kati lakini sasa tunahitaji juhudi na mikakati mingi zaidi iliyo kabambe kuwea kufikia uchumi wa juu tuwe kundi moja na Singapore au Uingereza.
Tumekua na kasumba kuwa lazima tuwe na watu wenye degree wengi sana mitaani, lakini tatizo ni kuwa tuna graduates wengi wasio ajirika na productivity yao ipo chini.
Ben Shapiro amewahi zungumzia katika kitabu chake kimoja namna elimu ya chuo kikuu imegeuka na kuwa biashara na nlengo lake hasa sio kumtengeneza mtu bali ni kutengeneza kitu.
Katika dunia tunayoishi sasa iliyojaa mparanganyiko wa kila namna tunahitaji elimu inayomtoa mtu mwenye fikra yakinifu na anayeweza kwenda na usasa.
JE, TUNAHITAJI UTITIRI WA VYUO VINAVYOTOA DEGREE?
Tunahitaji vyuo vya ufundi vya kutosha, jamii ya DIT, vyuo vya VETA vya kutosha, baada ya hapo tutahitaji wataalamu wa masuala ya biashara. Wataalamu wenye uzoefu mkubwa katika masuala ya biashara za kimataifa ili kusaidia hawa wanaomaliza VETA kuanzisha miradi yao mikubwa.
WE NEED MORE:
POLYTECHNICS UNIERSITY
VOCATIONAL EDUCATION COLLEGES
Pia serikali serikali kama inatoa fedha nyingi kama mikopo kwa wanafunzi wa vyuo vikuu ni kitu kizuri ila pia serikali iangalie utaratibu wa kutoa ruzuku au mikopo kwa wanafunzi wanaomaliza vyuo vikuu waweze kufungua miradi mikubwa lakini wawe chini ya uangalizi maalumu.
SIDO ipewe nguvu kubwa, SIDO inaweza kutupeleka mbali sana ikipewa nguvu.
Mafundi wana mchango mkubwa sana katika ujenzi wa hii nchi yetu na dunia kwa ujumla.
Mafundi walio soma Veta na ma engeneer wa vyuo vya kati.