@kwisha kabisaKuna binamu yangu ambaye nimetokea kumpenda sana, mtoto wa shangazi yangu mama yake na baba yangu wana mama mmoja wa baba tofauti.
Uyo shangazi ana mtoto wake wakike nampenda sana mpaka inafika kipindi sasa nashindwa kudhibiti hisia zangu, naona ni waite wazazi niwambie ukweli kuwa nimetokea kumpenda mtoto wa shangazi yangu, na nataka kuoa.
Je, ni halali kweli mtu kuoa binamu yake au ni maneno tu ya kijiweni?
Nisije jikoroga huko!
Kama ww ni mfauasi wa ile dini ya mnyazimungu ambayo mtume wake alikuwa yule mbakaji marehemu mudi basi unaruhusiwa kuoa, maana muddi ndo alifundisha kuwa alah hana noma we oa tuKuna binamu yangu ambaye nimetokea kumpenda sana, mtoto wa shangazi yangu mama yake na baba yangu wana mama mmoja wa baba tofauti.
Uyo shangazi ana mtoto wake wakike nampenda sana mpaka inafika kipindi sasa nashindwa kudhibiti hisia zangu, naona ni waite wazazi niwambie ukweli kuwa nimetokea kumpenda mtoto wa shangazi yangu, na nataka kuoa.
Je, ni halali kweli mtu kuoa binamu yake au ni maneno tu ya kijiweni?
Nisije jikoroga huko!
Nahisi Kuna kitu hakiko sawa mkuu,. Hebu heshimu Imani za watu kuwa great thinker. Unashusha HESHIMA ya jukwaaKama ww ni mfauasi wa ile dini ya mnyazimungu ambayo mtume wake alikuwa yule mbakaji marehemu mudi basi unaruhusiwa kuoa, maana muddi ndo alifundisha kuwa alah hana noma we oa tu
hili jibu limejitosheleza..Tumia kanuni hii itakusaidia, kuna kitu kinaitwa kofia au title. Mfano huyo mama yake na huyo binti ni shangazi yako, so ukijihusisha na binti yake inabidi awe mkweo, sasa atavaa vipi kofia mbili za heshima, atakuwa ni shangazi yako au mkweo.
Halafu wewe ukisha muoa huyo binti ina maana baba yako na dada yake waitane wakwe au kahemba?!
Je, vipi kuhusu mama yako, huyo ni wifi yake, je atamwitaje,kahemba wake?!
Haya hatujaja upande wa familia,baba yako hao ni ndugu zake upande wa wazazi wake. Je siku anaoa,mahari inapelekwaje huko,yaani anapeleka mahali kwao,maana baba yako ndie anakwenda ukweni kukuchukulia jiko sasa mahari anapeleka kwao tena?!
Kijana jiangalie sana, usiruhusu akili za kingono zitawale kichwa chako. Utajikuta unatamani hata kulala na mbuzi. Ukiendelea na hizi tabia utashangaa unaanza kuvutiwa hata na watoto na kutamani kuwabaka.
Kuwa na mipaka hata pale nafsi yako inapotamani watu au vitu ambavyo sio stahiki yako.
unakaribisha laana kwenye kizazi chako. unapendaje dada yako?Kuna binamu yangu ambaye nimetokea kumpenda sana, mtoto wa shangazi yangu mama yake na baba yangu wana mama mmoja wa baba tofauti.
Uyo shangazi ana mtoto wake wakike nampenda sana mpaka inafika kipindi sasa nashindwa kudhibiti hisia zangu, naona ni waite wazazi niwambie ukweli kuwa nimetokea kumpenda mtoto wa shangazi yangu, na nataka kuoa.
Je, ni halali kweli mtu kuoa binamu yake au ni maneno tu ya kijiweni?
Nisije jikoroga huko!
Angekuwa karibu ungemuwasha na makofi walau mawili matatu !!Tumia kanuni hii itakusaidia, kuna kitu kinaitwa kofia au title. Mfano huyo mama yake na huyo binti ni shangazi yako, so ukijihusisha na binti yake inabidi awe mkweo, sasa atavaa vipi kofia mbili za heshima, atakuwa ni shangazi yako au mkweo.
Halafu wewe ukisha muoa huyo binti ina maana baba yako na dada yake waitane wakwe au kahemba?!
Je, vipi kuhusu mama yako, huyo ni wifi yake, je atamwitaje,kahemba wake?!
Haya hatujaja upande wa familia,baba yako hao ni ndugu zake upande wa wazazi wake. Je siku anaoa,mahari inapelekwaje huko,yaani anapeleka mahali kwao,maana baba yako ndie anakwenda ukweni kukuchukulia jiko sasa mahari anapeleka kwao tena?!
Kijana jiangalie sana, usiruhusu akili za kingono zitawale kichwa chako. Utajikuta unatamani hata kulala na mbuzi. Ukiendelea na hizi tabia utashangaa unaanza kuvutiwa hata na watoto na kutamani kuwabaka.
Kuwa na mipaka hata pale nafsi yako inapotamani watu au vitu ambavyo sio stahiki yako.