Hivi leo ni siku ya ukimwi au siku ya maji maana nashangaa rais kuzungumzia masuala ya maji katika hotuba yake na hata kumsimamisha mkurugenzi wa wizara hiyo. Sasa inamaana ile wiki ya maji serikali ilizungumzia kitu gani?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.