ATM haiwezekani, ila unaweza kutumia NMB mobile kutuma kwa pesafasta kisha utaingiza namba ya simu ambapo utakwenda ATM na kuweka password ulizotumiwa na pesa itatoka bila kadi.
Inawezekana sana ukiingia kwenye App kuna option ya kutoa pesa bila kadi ambapo unapewa password ya mda ya kwenda kuingiza kwenye ATM na unatoa pesa hiyo bila makato yoyote.