Huwezi ndugu adi uwe na cheti ndiyo unaweza kuomba mkopoNilikuwa nauliza kama mtu ana transcript tu cheti hajachukua anaweza kuaply mkopo na chuo akachaguliwa na mkopo akapewa na vipi akifika chuo alicho chaguliwa hawatamuuliza cheti
Ukiomba hutafungwa, wala huta kufa.Nilikuwa nauliza kama mtu ana transcript tu cheti hajachukua anaweza kuaply mkopo na chuo akachaguliwa na mkopo akapewa na vipi akifika chuo alicho chaguliwa hawatamuuliza cheti
mwaka Jana nilipata mkopo kwa transcript na chuo pia hofu ondoa kabisa nduguNilikuwa nauliza kama mtu ana transcript tu cheti hajachukua anaweza ku-apply mkopo na chuo akachaguliwa na mkopo akapewa na vipi akifika chuo alichochaguliwa hawatamuuliza cheti.