Mkuu nakufahamu kupitia jukwaa la international, wewe ni muislamu wa itikadi kali za kipuuzi.
1. Kwako wewe mwanamke hana thamani, so sio ajabu kuandika maneno ya kipuuzi kama haya uloandika hapa.
2. Mama yako mzazi hajakutoa kukuleta hapa dunia bila kutoka damu ktk njia hiyo hiyo unaiona ina kinyaa hapa.
3. Kwa akili zako hizi chafu, ukija kuoa wewe lazima mkeo atakuwa anagongwa nje saana, unless asikutane na mafundi.
MWISHO: Kuna mambo huyaridhii kuhusu watu fulani au jamii ya watu fulani, its better kukaa kimya kuliko kuongea.
Ukishakuwa mwanaume sio kila kitu unaweza ukazungumza ktk maisha yako. Ukishindwa hili, uje tukufundishe namna ya kuwa mwanaume halisi.
Mwanaume ni baba, baba anapaswa kupenda himaya yake, kuithamini, kuiheshimu na kuilinda. Mpende mwanamke, mthamini, mmheshimu kwa namna zote kama ambavyo unapenda upewe heshima na mlinde pia wakati wote