ubarinolutu
JF-Expert Member
- Oct 22, 2012
- 1,964
- 3,895
Nimeona Dogo Mwakinyo anamcheka jamaa Kiduku, baada ya kupigwa na dogo kutoka south, je yeyey mwakinyo angeweza kumsimamisha huyu msauzi.
Kwa maana tukumbuke huyu Mwakinyo alipigwa na Mlevi Shambani kaoneka mbabe wa Mandonga.
Pambano lile nililicheki, Kiduku alizidiwa na Suala sio kwamba labda dogo wa kisauzi mrefu sana, hata taisoni alikuwa akitandika watu warefu huku yeye ni mfupi
Kwa maana tukumbuke huyu Mwakinyo alipigwa na Mlevi Shambani kaoneka mbabe wa Mandonga.
Pambano lile nililicheki, Kiduku alizidiwa na Suala sio kwamba labda dogo wa kisauzi mrefu sana, hata taisoni alikuwa akitandika watu warefu huku yeye ni mfupi