Nimeambiwa na mfanyakazi wa humo ndani Barrick huko Tarime.
Tena ninasikia siku hizi hata wale wabongo wasomi waliokuwa wanjipendekeza kwa Matajiri Barrick, nao wameamua kuungana na wenzao watanzania ili kudai haki zao.
Je mwajua vifaa vya kuchimbia(mitambo) ni mikubwa kuliko hata inayotumika huko Ghana ambako dhahabu inapatika chini saana wakati ya kwetu iko juu juu!! Mpaka hata hao waghana wachache wanaofanya kazi humo Barrick wanaishangaa nchi yetu na sisi watanzania?
Tulitakiwa kama serikali kuwapa limit ya capacity ya vifaa ili wachime taratibu badla ya kuchukua mali nyingi kwa muda mfupi kama vile wanafuzuzana na muda wa miaka mitano ili watuachie mashimo.
Ni vema pia waulizeni ndugu, marafiki zenu wanaofanya kazi huko ili tuone kama habari zinatofautiana.
KWANI KUBADILI MAJINA NI JAMBO GENI!
TUNA MFANO HALISI KWA SHERATON, ..., THEN MOVENPICK.
LISEMWALO LIPO AU LAJA. LAKINI PIA YAWEZEKANA IKAWA SI ZA KWELI.
ILA KWA WALAJI NA WALE AMBAO NDUGU ZAO WANASAIDI MIKATABA AU AMBAO SERIKALI NI ZAIDI YA BABA/MAMA ZAO WATAKIMBILIA KUSEMA NI UONGO BILA HATA KUJIULIZA.