bebii tulia tu yuko busy acha kumsumbua.
Mapenzi sio kuchat au kupigiana simu, wapenzi wanakuwa pamoja simu ni nyongeza tu.
sasa kama hamjafikia mda wa kuwa mnaambatana pamoja kwenye mizunguko mbalimbali hapo hesabu huyo si wako peke yako, na usilalamike asipopokea simu yako