Je, mnyama akifa, roho yake huenda mbingu ipi?

Hicho kiungo kinachoitwa roho katika mwili wa binadamu au mnyama naomba nijulishwe kinakaa sehemu gani mkuu mleta mada? nikipata jibu naweza changia kuhusu hiyo roho.
 
Hicho kiungo kinachoitwa roho katika mwili wa binadamu au mnyama naomba nijulishwe kinakaa sehemu gani mkuu mleta mada? nikipata jibu naweza changia kuhusu hiyo roho.
Kwa maelezo niliyopewa, roho haionekani wala haifahamiki ipo sehem gani mwilini
 
Kwa jibu lako linaonesha wazi kuwa hakuna kitu kinaitwa roho mwilini hivyo yeyote anaechangia naomba anipe jibu kuhusu roho kama atakuwa nalo bila ya hivyo hakuna ukweli bali ni nadharia tu za watu kuhusu roho
 
Unaangalia kama wana tabia za ngamia. JF nyakati zingine huwa ni soga na mikogo ya hapa na pale. Ukikaza mishipa ya shingo utazeeka muda si wako hahahahaa!
 
Kwa jibu lako linaonesha wazi kuwa hakuna kitu kinaitwa roho mwilini hivyo yeyote anaechangia naomba anipe jibu kuhusu roho kama atakuwa nalo bila ya hivyo hakuna ukweli bali ni nadharia tu za watu kuhusu roho
Naamin roho IPO ktk mwil wa mwanadamu ...."Nayo mavumbi kuirudia nchi kama yalivyokuwa nayo ROHO kumrudia MUNGU aliyeitoa.."mhubiri 12:7
 
Mafundisho rasmi ya Kanisa ni kwamba wanyama hawana roho. Binadamu ana roho, na malaika ni roho.

Kwa hivyo, hakuna cha kusema roho ya mnyama inakwenda wapi. Hawana.
 
Mafundisho rasmi ya Kanisa ni kwamba wanyama hawana roho. Binadamu ana roho, na malaika ni roho.

Kwa hivyo, hakuna cha kusema roho ya mnyama inakwenda wapi. Hawana.
I am 100% sure hata sokwe mtu anaamini kabisa kwamba binadamu hatuna roho, ile yeye tu ndio anayo
 
I am 100% sure hata sokwe mtu anaamini kabisa kwamba binadamu hatuna roho, ile yeye tu ndio anayo

I start from revealed truth as being the highest form of truth. If you start from reason alone, and not reason and faith (fides et ratio) then we have no basis for discussion. We irreconcilably apart.
 
kama miti maji maua hayataenda mbinguni. wanyama ni zawad Mungu ametupa kama mapambo/chakula/dawa. wao mission yao inaishia hapa duniani.



ulishawai kujuiliza mwanachama wa ccm akifa anaenda wapi? mpaka leo sijapata jibu.
Seriouslyyyy
 
Mafundisho rasmi ya Kanisa ni kwamba wanyama hawana roho. Binadamu ana roho, na malaika ni roho.

Kwa hivyo, hakuna cha kusema roho ya mnyama inakwenda wapi. Hawana.
Ukisema wanyama hawana roho wanapokufa je nini hutoka mwilini na kuwafanya wasiwe hai tena?
Kwa mtoa mada: Hakuna roho inayoenda mbinguni iwe ya myama au binadamu. Mhubiri 3.19,20
 
Umechanganya "concept" mbili tofauti ktk tafakuri yako! Umechanganya uumbaji na "evolution" pamoja! Tafakuri kwa misingi ya uumbaji, viumbe wengine wote hawakupuliziwa pumzi ikimaanisha hawakuingiziwa roho! Katika uumbaji (Biblia) viumbe wengine wote waumbwa kwa maneno kiujumla lakini binadamu aliumbwa kwa mfano wa Mungu na kuvuviwa pumzi! Tafakuri kupitia "evolution" ndipo utalinganisha binadamu na nyani (wanyama) na pengine viumbe wote na hapo suala la roho halipo!
 
Ukisema wanyama hawana roho wanapokufa je nini hutoka mwilini na kuwafanya wasiwe hai tena?
Kwa mtoa mada: Hakuna roho inayoenda mbinguni iwe ya myama au binadamu. Mhubiri 3.19,20

Hiyo ya kwamba kuna kitu kinatoka mwilini mnyama anapokufa umekipata wapi? Hakuna kinachotoka, ni uhai unakwisha basi.

Hilo la roho ya binadamu kwenda mbinguni ni la imani. Ahera ipo, na Musa na Elia walipotokea na kuongea na Yesu (Mathew 17:2), Mark 9:2-3) unadhani walitoka wapi? Walikuwa mahali, na baada ya ukombozi wana wa Mungu wakifa Roho inakwenda Mbinguni.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom