Linamo
JF-Expert Member
- Jan 12, 2011
- 9,976
- 24,498
Balozi Dr Mahiga alikuwa Balozi wa kudumu Umoja wa Mataifa na alikuwa kwenye Kamisheni ya kuleta Amani Somalia anatangaza Nia leo.
Agustino Ramadhani ni Jaji Mkuu mstaafu bado hajatangaza nia na kuna tetesi kuwa yuko mbioni kutangaza Nia.
Inawezekana hawa ndio chaguo la JK kutokana na kauli zake za nyuma za Rais ajaye.
Vilevile endapo mmoja wao atafanikiwa kushika nchi ataongoza kwa kipindi cha miaka mitano tu.
Kumbuka hawa wote ni Usalama wa Taifa.
Agustino Ramadhani ni Jaji Mkuu mstaafu bado hajatangaza nia na kuna tetesi kuwa yuko mbioni kutangaza Nia.
Inawezekana hawa ndio chaguo la JK kutokana na kauli zake za nyuma za Rais ajaye.
Vilevile endapo mmoja wao atafanikiwa kushika nchi ataongoza kwa kipindi cha miaka mitano tu.
Kumbuka hawa wote ni Usalama wa Taifa.