Katika Kongamano la Azimio la Arusha linalorushwa na ITV Live mzee J. Butiku ameeleza kwa nini azimio la Arusha lilikufa na tukajiingiza katika mfumo wa soko holela au ubepari. Alieleza jinsi misingi na miiko ya azimio la Arusha lilivyoifikisha nchi pabaya mpaka kufikia kukopa 10mil. USD nchini India. Aliongeza kuwa wengi wa viongozi walikuwa hohehahe kiasi cha kukosa hata hela ya kujikimu na hata kushindwa kujenga nyumba zao.
Then akawauliza wasomi waliodai kutaka miiko na misingi ya Azimio kuingizwa kwenye katiba kama "WATAMUDU HIYO HALI ILIYOKUWEPO" Yaani kukubali kufunga makanda na kuishi tu kwa mshahara na kuishi bila kuitehemea IMF, World Bank na taasisi nyingine za wahisani.
Ninaamini vijana wa UDSM hawakujua walichokuwa wanafanya walipoambiwa mtamudu wakasema NDIYOOOO!!!!!! bila kuelewa wanajibu nini. ukweli ni kwamba alichouliza J. Butiku ni swali gumu na ambalo kwa wakati wetu jibu rahisi ni kwamba HATUMUDU kurudia misingi na miiko ya Azimio la arusha kwani itabidi tuamua kufanya kazi sana ili tusiombe misaada.
Mimi nafikiri ili kurudia misingi ya azimio la Arusha kinaga ubaga ni lazima tujenge uchumi wa nchi na wa mtu binafsi binafsi la sivyo itakuwa ngumu ku- re view na kuingiza misingi na miiko ya azimio la Arusha katika katiba mpa katika uso wa GLOBALISATION.
Tutaweza tu ku modify hiyo misingi na iendane na wakati tuliopo na siyo kufanya cut and paste ya miiko ya 1967 na kuingiza moja kwa moja kwenye katiba mpya
Katika Kongamano la Azimio la Arusha linalorushwa na ITV Live mzee J. Butiku ameeleza kwa nini azimio la Arusha lilikufa na tukajiingiza katika mfumo wa soko holela au ubepari. Alieleza jinsi misingi na miiko ya azimio la Arusha lilivyoifikisha nchi pabaya mpaka kufikia kukopa 10mil. USD nchini India. Aliongeza kuwa wengi wa viongozi walikuwa hohehahe kiasi cha kukosa hata hela ya kujikimu na hata kushindwa kujenga nyumba zao.
Then akawauliza wasomi waliodai kutaka miiko na misingi ya Azimio kuingizwa kwenye katiba kama "WATAMUDU HIYO HALI ILIYOKUWEPO" Yaani kukubali kufunga makanda na kuishi tu kwa mshahara na kuishi bila kuitehemea IMF, World Bank na taasisi nyingine za wahisani.
Ninaamini vijana wa UDSM hawakujua walichokuwa wanafanya walipoambiwa mtamudu wakasema NDIYOOOO!!!!!! bila kuelewa wanajibu nini. ukweli ni kwamba alichouliza J. Butiku ni swali gumu na ambalo kwa wakati wetu jibu rahisi ni kwamba HATUMUDU kurudia misingi na miiko ya Azimio la arusha kwani itabidi tuamua kufanya kazi sana ili tusiombe misaada.
Mimi nafikiri ili kurudia misingi ya azimio la Arusha kinaga ubaga ni lazima tujenge uchumi wa nchi na wa mtu binafsi binafsi la sivyo itakuwa ngumu ku- re view na kuingiza misingi na miiko ya azimio la Arusha katika katiba mpa katika uso wa GLOBALISATION.
Tutaweza tu ku modify hiyo misingi na iendane na wakati tuliopo na siyo kufanya cut and paste ya miiko ya 1967 na kuingiza moja kwa moja kwenye katiba mpya
huyu mzee butiko hata kuwa staki kabisa kusikia si kumuona tu. huyu ndo alieratibu vita na uganda ambavyo havikuwa na tija kwa taifa. kwa lugha nyepesi huyu ni part and parcel ya matatizo tuliyonayo na Tz with remarkable contribution. Najua wengi hamjui lakini huo ndo ukweli na sasa mnamuona kama shujaa. hamna kitu huyo mzee.
ukweli ni kwamba alichouliza J. Butiku ni swali gumu na ambalo kwa wakati wetu jibu rahisi ni kwamba HATUMUDU kurudia misingi na miiko ya Azimio la arusha kwani itabidi tuamua kufanya kazi sana ili tusiombe misaada.[/SIZE]
huyu mzee butiko hata kuwa staki kabisa kusikia si kumuona tu. huyu ndo alieratibu vita na uganda ambavyo havikuwa na tija kwa taifa. kwa lugha nyepesi huyu ni part and parcel ya matatizo tuliyonayo na Tz with remarkable contribution. Najua wengi hamjui lakini huo ndo ukweli na sasa mnamuona kama shujaa. hamna kitu huyo mzee.
Katika Kongamano la Azimio la Arusha linalorushwa na ITV Live mzee J. Butiku ameeleza kwa nini azimio la Arusha lilikufa na tukajiingiza katika mfumo wa soko holela au ubepari. Alieleza jinsi misingi na miiko ya azimio la Arusha lilivyoifikisha nchi pabaya mpaka kufikia kukopa 10mil. USD nchini India. Aliongeza kuwa wengi wa viongozi walikuwa hohehahe kiasi cha kukosa hata hela ya kujikimu na hata kushindwa kujenga nyumba zao.
Then akawauliza wasomi waliodai kutaka miiko na misingi ya Azimio kuingizwa kwenye katiba kama "WATAMUDU HIYO HALI ILIYOKUWEPO" Yaani kukubali kufunga makanda na kuishi tu kwa mshahara na kuishi bila kuitehemea IMF, World Bank na taasisi nyingine za wahisani.
Ninaamini vijana wa UDSM hawakujua walichokuwa wanafanya walipoambiwa mtamudu wakasema NDIYOOOO!!!!!! bila kuelewa wanajibu nini. ukweli ni kwamba alichouliza J. Butiku ni swali gumu na ambalo kwa wakati wetu jibu rahisi ni kwamba HATUMUDU kurudia misingi na miiko ya Azimio la arusha kwani itabidi tuamua kufanya kazi sana ili tusiombe misaada.
Mimi nafikiri ili kurudia misingi ya azimio la Arusha kinaga ubaga ni lazima tujenge uchumi wa nchi na wa mtu binafsi binafsi la sivyo itakuwa ngumu ku- re view na kuingiza misingi na miiko ya azimio la Arusha katika katiba mpa katika uso wa GLOBALISATION.
Tutaweza tu ku modify hiyo misingi na iendane na wakati tuliopo na siyo kufanya cut and paste ya miiko ya 1967 na kuingiza moja kwa moja kwenye katiba mpya
Hivi hilo Azimio la Arusha...mbona hata watanzania hatufahamu misingi yake? kwa nini nakala yake isiwekwe kwa mfumo wa electronic ili tudownload na tusome tuelewe?
Kwa uelewa wangu mdogo, kama nitakuwa sikosei...hivi si hili Azimio ndilo lilipelekea watu wajipangie foleni ya sukari na sabuni? Si hili hili Azimio lilisababusha watu kufulia majani ya mipapai kutokana na kukosa fursa ya kupata japo kipande cha sabuni?
Sasa leo twataka turudie huko jamani? Ndiyo maana mzee Butiku ametia shaka kuwa hatutaliweza hilo azimio.Hivi tunasonga mbele au tunarudi nyuma?
Mimi sidhani Azimio ndilo suluhisho la matatizo yetu. Kuna njia nyingi za kutransform bila hilo Azimio. Hebu watanganyika tusiwe wavivu wa kufikiri.
...If at first you didn't succeed...transform your database...
Azimio la Arusha lilikuwa linajenga nchi kwa utaratibu wa kutoka chini kwenda juu (Bottom Up),- au kwa kiswahili cha mitaani " mwanzo mgumu." Kosa kubwa ni kuwa lilikuwa linazuia ubunifu miongoni mwa watu kwa vile lilikuwa linazuia ubinafsi. Kama mimi ndiye ningekuwa nimemrithi Nyerere, ningerekebisha vifungu vinavyozuia mtu binafsi kujipatia mali kwa ubunifu wake iwapo atakuwa ametumia njia halali. Ningeongeza utaratibu wa kuratibu mali za watanzania kwa kutumia idara ya kodi, akama ambavyo nchi zilizoendelea zinavyofanya. Vifungu vingine vyote vinavyohusu miiko ya uongozi ningeviacha kama vilivyo ingawa labda ningepambanua kwa kuongeza kuwa mali za kiongozi si siri yake, ni lazima aeleze jinsi alivyozipata baada ya kuwa kiongozi. Kiongozi anayegundulika kuficha mali zake binasfi basi zinataifishwa.
Tanzania tatizo letu leo tunataka kujenga kutoka juu kwenda chini (top-down), ndiyo maana tunakimbilia kukopa pesa India bila kufahamu kuwa tunatakiwa kutengeneza pesa yetu wenyewe kwa kufanya kazi zaidi na kuwa makini katika matumizi ya hela zetu, siyo kununua rada kwa malipo ya mara tano ya bei halisi!! Viongozi wanaingia madarakani wakiwa maskini baada ya muda kidogo wanakuwa mabilionea wa kutupwa na wala hatuhoji!
Jinsi hali ilivyo sasa ni sawa na kutibu kifua kikuu kwa kutumia "cofta" au sigara ya SM.Ila tukiweka misingi ya AA kwenye katiba,maana yake huwezi kuwa kiongozi kama wewe una mali nyingi...kwa mfano gari na kuendelea,wewe kama una gari kaa pembeni,umelipataje?Mbona wezi na Mafisadi tulionao leo wapo na wanapeta hadi Rais anawaogopa ingawa Sheria za kuwafikisha Mahakamani zipo?
Azimio la Arusha la nini sasa? Achaneni usanii.