Je, Mkalimani hulipwa shilingi ngapi?

Je, Mkalimani hulipwa shilingi ngapi?

Baba Ndubwi

JF-Expert Member
Joined
Sep 27, 2013
Posts
1,276
Reaction score
2,057
Wakuu salam....
Naomba kwa anayejua anijuze tafadhali.
Malipo kwa mwezi au wiki.
Je, kama malipo ni kwa masaa au siku ni shilingi ngapi.
NB: Ni anayetafsiri lugha ya kiingereza kwenda kiswahili.
Shukrani.
 
Ukihitaji kujua za wakalimani wa lugha ya alama ya viziwi niulize hii yako siijui
 
Swali lako ni too general

Kuna mkalimani
Kwenye utalii
Makanisani
Kwenye movies
Etc.

Kwa hiyo kuwa specific
 
dah kweli sikuweka wazi, nazungumzia wa kwenye viwanda mkuu
Aaah
Experience inaonesha jamaa wa viwandani huwa wanajifunza lugha kabsaa wakata wa kuja.
Sidhani kama kuna madili mengi huko
 
Wakuu salam....
Naomba kwa anayejua anijuze tafadhali.
Malipo kwa mwezi au wiki.
Je, kama malipo ni kwa masaa au siku ni shilingi ngapi.
NB: Ni anayetafsiri lugha ya kiingereza kwenda kiswahili.
Shukrani.

Huyo mtafsiri ni mtaalamu wa tafsiri ama mtafsiri tu?
 
Wakuu salam....
Naomba kwa anayejua anijuze tafadhali.
Malipo kwa mwezi au wiki.
Je, kama malipo ni kwa masaa au siku ni shilingi ngapi.
NB: Ni anayetafsiri lugha ya kiingereza kwenda kiswahili.
Shukrani.
Verbal 100$ per day
Written 20-40 $ per page
 
Inategemea na price list yako. Wengine wanalipwa kwa neno/word by wprd, wengine kwa kazi nzima nk
 
Aaah
Experience inaonesha jamaa wa viwandani huwa wanajifunza lugha kabsaa wakata wa kuja.
Sidhani kama kuna madili mengi huko
yawezekana unachosema kikawa na ukweli ila wachina wengi wanakuja hawajui mkuu.
 
Anhaaa
Ila sasa wachina ndio wabahiliiii
Ehehehee!
Ngoja ntakuulizia kwa watu nnao wajua
😀😀😀 balaa aisee kama ndo wabahili, hawa ni wa kwenye machimbo mkuu au wote ni walewale tuu. Waswahili husema mbwa ni mbwa hata umpe jina.
Anyway, ukipata majibu tafadhali nijuze mkuu
 
Inategemea na price list yako. Wengine wanalipwa kwa neno/word by wprd, wengine kwa kazi nzima nk
Huyu yeye sio mtaalamu bali ni vile tuu wamefahamiana nae wameamua kufanya nae kazi.
Watakuwa wakimlipa kwa mwezi na ni ya kuongea
 
😀😀😀 balaa aisee kama ndo wabahili, hawa ni wa kwenye machimbo mkuu au wote ni walewale tuu. Waswahili husema mbwa ni mbwa hata umpe jina.
Anyway, ukipata majibu tafadhali nijuze mkuu
Hahahah
Ngoja tuulize tutapata majib tuu
 
Back
Top Bottom