Baba Ndubwi
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 1,276
- 2,057
Wakuu salam....
Naomba kwa anayejua anijuze tafadhali.
Malipo kwa mwezi au wiki.
Je, kama malipo ni kwa masaa au siku ni shilingi ngapi.
NB: Ni anayetafsiri lugha ya kiingereza kwenda kiswahili.
Shukrani.
Naomba kwa anayejua anijuze tafadhali.
Malipo kwa mwezi au wiki.
Je, kama malipo ni kwa masaa au siku ni shilingi ngapi.
NB: Ni anayetafsiri lugha ya kiingereza kwenda kiswahili.
Shukrani.