Je, Michango Shule za Sekondari iko Palepale?

Je, Michango Shule za Sekondari iko Palepale?

1954tanu

JF-Expert Member
Joined
Jul 19, 2013
Posts
1,038
Reaction score
487
Waraka wa serikali juu ya kufutwa ada shule za sekondari na kufutwa michango shule za msingi na zile za awali wazua utata. Wananchi wametatizika.

Katika vikao vya kufunga shule kwa baadhi ya shule za sekondari mkoa wa pwani na dar es salaam; walimu wameambiwa kwamba kilichofutwa ni ada pekee kwa shule za sekondari michango ingalipo.

Fununu hizi zimezua sintofahamu kwa walimu, wanafunzi na wananchi. Inadaiwa kwamba waraka wa serikali haujaeleweka.

Tafadhali, fununu hizi zifanyiwe kazi mapema na kuwekwa sawa kabla ya wanafunzi wa kidato cha kwanza mwakani hawajaanza kupokea barua na maelekezo ya kujiunga na shule mwakani.
 
nililitegemea hlo kaka jna APA JF huo waraka uliwekwa na ulizua utata
 
Napo sema elimu bure namaanisha bureee sio michango michango---magufuli ufunguzi Wa bunge
 
Mbona unaibuka sredi za kizembe sio kawaida yako kule kwenye kutumbua majipu umepotea kiongozi!

Unamchokoza mtoto WA Mzee WA busara akienda kusema KWA babake itabidi umtafute JUMA nature akusaidie!
 
Hata mimi sijauelewa huo waraka labda kama kuna mtu ameuelewa atufafanulie hapa tufahamu unasemaje!!!!
 
Mbona unaibuka sredi za kizembe sio kawaida yako kule kwenye kutumbua majipu umepotea kiongozi!
Wewe punguani kweli unanipangia thread za kuchangia mimi mumeo.
 
Safi mtoa hoja naona nidandie tu hapa.Yaaan kama mdau wa elimu hili suala litakugusa sana mchanganyiko flani hivi wakuu was shule Nazi wanayo January maana wazazi wameamini bure kwelikweli sasa suala LA ada tu linatoka wapi?yawezekana atatuma mihera kabla ya sh ule kufungua
 
Back
Top Bottom