johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,133
Siasa za Iringa zimebadilika sana na kwa hakika nawapongeza Wanasiasa wetu wote ambao kimsingi ni kama wameshastaafu.
Mchungaji Msigwa kwa sasa amejikita kwenye huduma ya kumtumikia Mungu wa mbinguni akikemea mapepo na kuwaombea watu wenye shida mbalimbali.
Salum Happi amejikita kwenye Kilimo cha pilipili za mwendokasi.
Kasesela naye anasimamia Bajaj zake na kibasi cha town trip
Iringa ni pazuri karibuni sana!
Mchungaji Msigwa kwa sasa amejikita kwenye huduma ya kumtumikia Mungu wa mbinguni akikemea mapepo na kuwaombea watu wenye shida mbalimbali.
Salum Happi amejikita kwenye Kilimo cha pilipili za mwendokasi.
Kasesela naye anasimamia Bajaj zake na kibasi cha town trip
Iringa ni pazuri karibuni sana!