Je, Mchepuko anawivu?

Je, Mchepuko anawivu?

Jkosewe

Member
Joined
Feb 22, 2020
Posts
32
Reaction score
27
Habari za jioni wana MMU,

Naomba kufahamu juu ya hili swala. Je, unaweza ukawa Mchepuko, Side Chick, Kibenteni na usiwe na wivu ?
 
Vipi unataka kusajili kibemten kipyaa?
 
KWA UPANDE WA KE NDO WANA WIVU KAMA WEWE NI BAHARIA KAMA MIMI UNAMEGA KISELA HAKUNA WIVU
 
Hapana niamin...mwanaume hachepuki kwa kuhamishia upendo wake toka kwa mkewe kwenda kwa mchepuko.

Mke atabaki kua mke... Ndio maana mchepuko ndio atajaribiwa kuombwa vilivyo halali na vya haramu.
Mwee ina maana mnakua hamuwapendi, maana mtu unayempenda lazima utamuonea wivu.
In fact mchepuko hauna guarantee ... Unaweza kuachwa, jamaa akaenda kwa mchepuko mwengine.


Lkn mke yuko pale pale 100%!!.
 
Hapana niamin...mwanaume hachepuki kwa kuhamishia upendo wake toka kwa mkewe kwenda kwa mchepuko.

Mke atabaki kua mke... Ndio maana mchepuko ndio atajaribiwa kuombwa vilivyo halali na vya haramu.In fact mchepuko hauna guarantee ... Unaweza kuachwa, jamaa akaenda kwa mchepuko mwengine.


Lkn mke yuko pale pale 100%!!.
Mmmmmmh!!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom