SLAA level ya raisi yule na zaidi... kumlipa mshahara kama mbunge wa kawaida ni kumdhalilisha kabisa... Apewe posho za maana azunguke nchi nzima ili magamba yawe rehani 2015... Naomba Slaa apewe zaidi mahela ili magamba yawekwe rehani zaidi na zaidi...[/QUOTE
kupewa posho haki yake.......lakini nchi zilizoendelea watu wanaingia kwenye haya mambo wakiwa na mitaji tayari.............Obama ,Bush, Clinton, NA WENGINEO WAMETOKA KWAO NA MITAJI YAO..........HATA KAMARI UNAENDA KUCHEZA UKIWA NA MTAJI........SIO KWASABABU ANAZUNGUKA MITAANI KUONGELEA MAGAMBA ATUMALIZIE PESA ZA CHAMA