Je Mbowe amemkaanga Dr. Slaa?

Ndg wana jf tunapoliangalia suala la Dr kupata kiasi hicho lazima ukumbuke ilikua vipi yeye kuchukua fomu ya Urais maana alikwenda kuchukua ya ubunge kwao ila aliporudi ndo kibao kikawa kimegeuzwa na wenzake na si yeye na wakamwekea maazimio ya nini watamtendea asipokua Rais.So mpaka hapo hakuna la kumlaumu Dr na pia kazi anayoifanya ni kubwa kuliko hao wabunge maana wanaenda mjengoni na kulala mwisho wa siku wanapokea posho.
 

you are lunatic !
 
cdm ni upuuuuziiiiiii

Inaonyesha wewe ni wa chama cha magamba ndo wamekutuma, na sijui kama unaakili timamu au ni akili ya makamsi, na nafikili magamba wakulipa posho kubwa sana, ndo maana bado umeng'ang'nia gamba hadi ufe na gamba mwilini. shauri yako.
 
 
Issue hapa ni kwa nini mshahara wa mtumishi wa chama uwe -pegged kwenye ule wa mbunge wakati kazi za utumishi wa chama ni tofauti na zile za mbunge? Hapa ndipo tunapotaka majibu ya kina lakini wajuaji wanaipotezea hoja hii!

Mkuuu Nadhani Hoja yako ndio inastahili kuelewa na wana JF sasa

Me nimekuelewa vyema hapo sasa watu wasilopoke tuuuu humu ndani oooh kamkaanga fulani watu wanaleta hoja na mtu katafakali na kajua hii Hoja inakwenda wapi na kweli ulichokisema ndicho hicho, watu wanapotezea hoja na kuzifanya za kisiasa zaidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…