Dingswayo
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 4,019
- 2,923
Tumesikia na kuona kwenye vyombo vya habari na hususani katika taarifa ya habari ya saa 2 ya ITV kuwa madaktari wamerudi kazini na kuonyeshwa picha wakiwa kazini. Tungependa kujua kutoka kwa madaktari:Je! Mmesitisha mgomo? Kama ndivyo, toeni basi tamko la kusitisha mgomo ili wananchi tuwe na imani na tuanze kuhudhuria hospitali kwa matibabu.