Katika misimu hii mitatu hakuna team iliyonufaika na marefa kama yanga tangia kipindi cha nabi ndio makocha wanakimbia maana engineer hersi anawaambia sisi hatushindi kwasababu yako.
Simba jana alijilegeza ili asiende fainali. Kuna uwezekano pia walipanga matokeo, hivyo uchunguzi ufanyike mara moja. Haiwezekani SBS wawafunge goli 3 - 1, na wakati siku chache tu zilizopita waliwafunga goli 1-0!