Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 19,228
- 68,247
Kwa wiki kadhaa sasa kumekuwa mazoezi na vitisho vya Majeshi yetu kwa raia wake.
Kwa waliopo Dar, Ndege za kivita za jeshi zimekuwa zikirandaranda katika anga hilo japo sio sana.
Pia Askari wa Jeshi la Polisi hasa kikosi cha FFU hawa ndio wamekuwa watoaji vitisho kwa raia, kwani imefikia hatua wanapost kwenye mitandao ya kijamii mazoezi yao ambayo kwakiasi fulani imezua hali ya taharuki kwa sisi raia tusiofahamu nini kinaendelea.
Je kuna hali ya hatari Tanzania?
Juhudi hizi za majeshi yetu zingefanyika kwenye kupambana na ujambazi leo hii tungekuwa kama Uswizi hakika tungelala milango wazi.
Ni muda muafaka sasa wa kuelezwa na Viongozi wetu hali ya Usalama hapa nchini sio kutumia vitisho vya picha kama ambavyo zinavyozagaa mitandaoni.
Kwa waliopo Dar, Ndege za kivita za jeshi zimekuwa zikirandaranda katika anga hilo japo sio sana.
Pia Askari wa Jeshi la Polisi hasa kikosi cha FFU hawa ndio wamekuwa watoaji vitisho kwa raia, kwani imefikia hatua wanapost kwenye mitandao ya kijamii mazoezi yao ambayo kwakiasi fulani imezua hali ya taharuki kwa sisi raia tusiofahamu nini kinaendelea.
Je kuna hali ya hatari Tanzania?
Juhudi hizi za majeshi yetu zingefanyika kwenye kupambana na ujambazi leo hii tungekuwa kama Uswizi hakika tungelala milango wazi.
Ni muda muafaka sasa wa kuelezwa na Viongozi wetu hali ya Usalama hapa nchini sio kutumia vitisho vya picha kama ambavyo zinavyozagaa mitandaoni.