Anaupiga mwingiiiii....
Kusifia kumekuwa jambo la kipaumbele zaidi licha ya wananchi majimboni hawaogi wiki nzima kwa kukosa maji bombani!
Hakuna mijadala ya kuwaweka kitimoto wapigaji, hata ripoti zinaonyesha upigaji ila wabunge hawaonyeshi nia ya kuwabana, ni kama wanatimiza tu wajibu kufika kwenye vikao, kusifiana na kuondoka.
Kusifia kumekuwa jambo la kipaumbele zaidi licha ya wananchi majimboni hawaogi wiki nzima kwa kukosa maji bombani!
Hakuna mijadala ya kuwaweka kitimoto wapigaji, hata ripoti zinaonyesha upigaji ila wabunge hawaonyeshi nia ya kuwabana, ni kama wanatimiza tu wajibu kufika kwenye vikao, kusifiana na kuondoka.