Ms. Kadadaa jumapili
Senior Member
- Jul 9, 2013
- 102
- 48
naomba tu nishee huu ushauri unaweza ukakufaa wewe au nduguyo au rafiki yako mana ndo mtindo wakisasa....
kama mwanamke wako tayari ni mjamzito subiri ajifungue ndio ufunge ndoa. ukifunga ndoa akiwa mjamzito unamuoa na mtoto wa tumboni, kwani ndoa ni agano. mama na mtoto ni kitu kimoja so unaweka agano na mama na mtoto. mwishoni unakuta mtoto haolewi na akiolewa anaachika kila mara kumbe ulishamuoa wewe akiwa tumboni.
USHAURI: Usioe akiwa mjamzito subiri ajifungue
Je kuna ukweli?
kama mwanamke wako tayari ni mjamzito subiri ajifungue ndio ufunge ndoa. ukifunga ndoa akiwa mjamzito unamuoa na mtoto wa tumboni, kwani ndoa ni agano. mama na mtoto ni kitu kimoja so unaweka agano na mama na mtoto. mwishoni unakuta mtoto haolewi na akiolewa anaachika kila mara kumbe ulishamuoa wewe akiwa tumboni.
USHAURI: Usioe akiwa mjamzito subiri ajifungue
Je kuna ukweli?