nashukuru mzima
JF-Expert Member
- Jul 11, 2017
- 1,011
- 1,915
mnajipa stress wenyeweUsiwe mwaminifu sana kwake fanya ajue kama unamcheat wakati huo ye akijua unamtege kumbe ndio unamcheat mazima
Iko playstoreNdio ipo .
Tumia messenger app
Unaweza kuchepuka na usikamatweChepuka uwe tayari Kwa matokeo ya kukamatwa au usichepuke kabisa usihangaike na mbinu.
Karibu..mnajipa stress wenyewe
Mlikalilishwa.siku ya mwizi ni arobaini,
endelea kujipa moyo
Ndio ni nzuri sana an ni mwisho wa matatizoIko playstore
Unaweza kuchepuka na usikamatwe
Wape mbinu wenzako hawaelewi, hawa wanachiti leo kesho wanadakwa, wew lolimodo wao mwenye mchepuko zaid ya miaka4 ujadakwa utakuwa na notes nyingi za kuwasidiaHuu Uzi unanihusu 100%[emoji4]
Haha.Ku cheat ni jeshi la kujitegemea jeshi bila mbinu la kiintelejisia limekufaHuu Uzi unanihusu 100%[emoji4]
Siwezi kukamwata ,,nakamatwaje kea mfanoNimekwambia wakati unaendelea uwe tayari Kwa matokeo yatakayokupata siku umekamatwa.
Kama unajua unawezakuchepuka bila kukamatwa, kwanini unatafuta mbinu zaidi za kuimarisha ulinzi au kuficha nyendo za uchepukaji?
Uhuni uko wapi jamani !?Tumeanza kufundishana uhuni hivihivi? Kwenye kesi tusiombane ushauri.