The MaskmaN
JF-Expert Member
- Sep 28, 2017
- 350
- 754
Habarini za jioni wana JF.
Samahanini kwa Usumbufu ila yanipasa kulifahamu ili hakuna namna.
Mke wangu wa ndoa ni MAMA KIJACHO wa miezi 8, nina miezi sasa hatufanyi tendo kwa sababu amekuwa analalamika kuumia wakati wa tendo. Hivyo kumjali mke wangu na hamu ya mtoto nimeona "nisizi" kidogo kwenye tendo.
Ila leo nimepokea text kutoka kwa Mchepuko wangu umenimiss full mapicha picha na mameseji ya kunyegesha. Na ukitazama hali yangu kweli ni tete haswaaa yani kuna muda mpaka naweza kushtuka asubuhi najikuta nimechafua boksa.
Sasa nataka kujua Je kuna madhara yeyote yanaweza kumtokea mke wangu au mtoto wangu aliye tumboni endapo nikikubaliana na ushawishi wa Mchepuko wangu kwenda kuchakata mbususu?
Samahanini kwa Usumbufu ila yanipasa kulifahamu ili hakuna namna.
Mke wangu wa ndoa ni MAMA KIJACHO wa miezi 8, nina miezi sasa hatufanyi tendo kwa sababu amekuwa analalamika kuumia wakati wa tendo. Hivyo kumjali mke wangu na hamu ya mtoto nimeona "nisizi" kidogo kwenye tendo.
Ila leo nimepokea text kutoka kwa Mchepuko wangu umenimiss full mapicha picha na mameseji ya kunyegesha. Na ukitazama hali yangu kweli ni tete haswaaa yani kuna muda mpaka naweza kushtuka asubuhi najikuta nimechafua boksa.
Sasa nataka kujua Je kuna madhara yeyote yanaweza kumtokea mke wangu au mtoto wangu aliye tumboni endapo nikikubaliana na ushawishi wa Mchepuko wangu kwenda kuchakata mbususu?