Fakyuol
Senior Member
- Nov 26, 2023
- 142
- 311
Habar za mida...wakuu
Kuna kitu mke wangu..amenambia nkajikuta naishiwa nguvu kabisa
Nmeoa na tuna watoto wawili
Wakike na wakiume
Wakiume ana umri wa miezi sita sasa..anaelekea wa saba by January 2024
Jana wife... Kanambia kuna ktu amegundua kwa huyu mtoto wa kiume
Na ishu yenyewe ni kwamba....uume wake n muda sasa
Hajawah ushuhudia ukiwa umesimama!!!!
..
Anahisi asimamishi!! Kaisha chunguza saaaana kwa ukaribu
..
Naombeni ushauri....kwa utaalam..na uzoefu mlonao pia
Mnahisi ishu kama hii .........naimalizaje MWENZENU!!!!!!!!!
Kuna kitu mke wangu..amenambia nkajikuta naishiwa nguvu kabisa
Nmeoa na tuna watoto wawili
Wakike na wakiume
Wakiume ana umri wa miezi sita sasa..anaelekea wa saba by January 2024
Jana wife... Kanambia kuna ktu amegundua kwa huyu mtoto wa kiume
Na ishu yenyewe ni kwamba....uume wake n muda sasa
Hajawah ushuhudia ukiwa umesimama!!!!
..
Anahisi asimamishi!! Kaisha chunguza saaaana kwa ukaribu
..
Naombeni ushauri....kwa utaalam..na uzoefu mlonao pia
Mnahisi ishu kama hii .........naimalizaje MWENZENU!!!!!!!!!