Lagrange
JF-Expert Member
- Mar 7, 2017
- 2,258
- 2,572
Hapo unawanyima uhondo waliokusudia kwenda kusimama huko milimani ili waone vizuri. Watatolewa mkuku na walinzi, kumbe hata hawakuwa na nia mbaya, walitaka tu kujionea. Hii umekosea!
Ukweli Mkuu ndo huo si kwamba ulinzi ni mkali kihivo ,,hamna hata , inabidi waimarishe ulinzi wa Jiwe