Je, kuhutubia mikutano ya hadhara live kila siku hakuzuii watu kufanya kazi ?

Kinoamiguu

JF-Expert Member
Nov 29, 2018
10,441
12,862
Bunge live lilizuiwa kwa sababu za kitoto, kipuuzi na kishamba sana. tuliambiwa tupate muda wa kufanya kazi. sasa tunashuhudia hata uzinduzi wa makanisa na kusimika mapadre ukiwa mubashara kutwa nzima.

Huyu bwana anatembea na tv nchi nzima.
akienda msibani live, akila live, akienda kanisani mubashara, akienda ziarani mubashara mchana kutwa.

Je, yeye akioneshwa mubashara hawazuii hao wananchi kufanya kazi au kwakuwa yeye ni bingwa wa kutofuata utaratibu?

Unafiki ni jambo baya ila ni chakula cha CCM

Acha kuogopa wapinzani mzee baba kama unakubalika waache nao wacheze uwanja sawa tuone.

Huko malawi ulienda kujifunza nn? mbona wao viongozi wa kitaifa kila mtu anagombea kwa chama chake na hakuna nongwaaa?
 
Bunge live lilizuiwa kwa sababu za kitoto, kipuuzi na kishamba sana. tuliambiwa tupate muda wa kufanya kazi. sasa tunashuhudia hata uzinduzi wa makanisa na kusimika mapadre ukiwa mubashara kutwa nzima
huyu bwana anatembea na tv nchi nzima.
akienda msibani live, akila live, akienda kanisani mubashara, akienda ziarani mubashara mchana kutwa.
je yeye akioneshwa mubashara hawazuii hao wananchi kufanya kazi au kwakuwa yeye ni bingwa wa kutofuata utaratibu?
UNAFIKI NI JAMBO BAYA ILA NI CHAKULA CHA CCM
Acha kuogopa wapinzani mzee baba kama unakubalika waache nao wacheze uwanja sawa tuone.
huko malawi ulienda kujifunza nn? mbona wao viongozi wa kitaifa kila mtu anagombea kwa chama chake na hakuna nongwaaa?
Inaelekea ccm wamekutibua
 
Write your reply...tuache cc wanyonge tuangalie mubashara kazi 2tafanya jioni
 
The prezidaaa
Screenshot_20190425-231657~2.jpeg
 
Dah ulinzi bab kubwa. Tuna jeshi imara na tiifu kwa amiri jeshi mkuu


Hamna hata ,siku ile alikuwa pale viwanja vya rwanda nzovwe niliwaza kabisa mtu akiwa na AK 47 na mwenye shabaha akikaa kwenye mlima ule wa kupandia kwenda veta anamtoa mchezoni vizuri tu ,,kikubwa Tanzania ni nchi ya aman kiasi chake si kwamba ulinzi ni mkali sana kivile


Hata mei mosi mtu akikaa kule mlimani na mashine nzuri anaweza fanya lolote ,sema kwa Tanzania ni aman aman

Ulinzi unatakiwa uongezwe sana tena kwa sehemu kama mbeya kulivo na milima milima ,mtu mwenye nia mbaya asiweze kumdhuru
 
Hamna hata ,siku ile alikuwa pale viwanja vya rwanda nzovwe niliwaza kabisa mtu akiwa na AK 47 na mwenye shabaha akikaa kwenye mlima ule wa kupandia kwenda veta anamtoa mchezoni vizuri tu ,,kikubwa Tanzania ni nchi ya aman kiasi chake si kwamba ulinzi ni mkali sana kivile


Hata mei mosi mtu akikaa kule mlimani na mashine nzuri anaweza fanya lolote ,sema kwa Tanzania ni aman aman

Ulinzi unatakiwa uongezwe sana tena kwa sehemu kama mbeya kulivo na milima milima ,mtu mwenye nia mbaya asiweze kumdhuru
Hapo unawanyima uhondo waliokusudia kwenda kusimama huko milimani ili waone vizuri. Watatolewa mkuku na walinzi, kumbe hata hawakuwa na nia mbaya, walitaka tu kujionea. Hii umekosea!
 
Mi katika ulinzi ningemshauri awe mwangalifu na wale wanaokuja kumlilia shida kwenye mikutano ya hadhara. Siku ya siku atakuja aliyechafukwa mambo yawe mengine. Chunga sana mkulu.
 
Ndo rais wa Tanzania sasa, na mmemchagua wenyewe....otherwise tunyamaze tufanye kazi, ikibidi wekeni mnayeona atakuwa sahihi kulingana na matakwa yenu.
 
Bunge live lilizuiwa kwa sababu za kitoto, kipuuzi na kishamba sana. tuliambiwa tupate muda wa kufanya kazi. sasa tunashuhudia hata uzinduzi wa makanisa na kusimika mapadre ukiwa mubashara kutwa nzima.

Huyu bwana anatembea na tv nchi nzima.
akienda msibani live, akila live, akienda kanisani mubashara, akienda ziarani mubashara mchana kutwa.

Je, yeye akioneshwa mubashara hawazuii hao wananchi kufanya kazi au kwakuwa yeye ni bingwa wa kutofuata utaratibu?

Unafiki ni jambo baya ila ni chakula cha CCM

Acha kuogopa wapinzani mzee baba kama unakubalika waache nao wacheze uwanja sawa tuone.

Huko malawi ulienda kujifunza nn? mbona wao viongozi wa kitaifa kila mtu anagombea kwa chama chake na hakuna nongwaaa?
Mkuu tatizo ndo tatizo la kukabidhi kisiwa wa shambani
 
7 Reactions
Reply
Back
Top Bottom