Ninachokliona ni usanii mtupu. Wabunge wanataka kuityumia katiba mpya kama kete ya kisiasa. Wakumbuke kwua katiba mpya ni zaidi ya siasa zao na chadema. Wananchi tunataka katibu mpya, hatujali kama atakayefanikisha ni CCM au Chadema. Tunataka katiba inayolinda maslahi yetu, hivyo wakae chonjo kwa sababu kama wakishindwa kuongoza mchakato wa kutupatia katiba tunayoitaka, tutawaweka pembeni