johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,968
- 141,976
Najiuliza tu na hasa nikikumbuka ile kesi ya mauaji ya wafanyabiashara ya madini iliyokuwa inamkabili kamanda Zombe na askari wengine.
Nilimsikia huyu mhasibu wa Takukuru akijieleza jana kupitia ITV na kwa namna anavyojiamini nilimlinganisha kabisa na Zombe alivyojiamini kiasi cha kumuelekeza cha kuongea wakili wake pale mahakamani huku akijitanabaisha kama " kachero aliyebobea".
Mwanzoni sikumtilia maanani sana lakini hukumu ilipotoka nikaamini kweli Zombe ni kachero mbobezi. Ila kwa huyu mhasibu wa Takukuru sina hakika kama yeye pia ni mhasibu mbobezi ambaye kabla auditor hajauliza swali yeye tayari anakuwa na majibu. Ni hayo tu!!
Nilimsikia huyu mhasibu wa Takukuru akijieleza jana kupitia ITV na kwa namna anavyojiamini nilimlinganisha kabisa na Zombe alivyojiamini kiasi cha kumuelekeza cha kuongea wakili wake pale mahakamani huku akijitanabaisha kama " kachero aliyebobea".
Mwanzoni sikumtilia maanani sana lakini hukumu ilipotoka nikaamini kweli Zombe ni kachero mbobezi. Ila kwa huyu mhasibu wa Takukuru sina hakika kama yeye pia ni mhasibu mbobezi ambaye kabla auditor hajauliza swali yeye tayari anakuwa na majibu. Ni hayo tu!!