IamPrince George
JF-Expert Member
- Nov 22, 2014
- 412
- 168
Katiba ni taratibu, muongozo wa namna watu, kikundi cha watu, taasisi ama shirika wamekubaliana kuzifuata ili kuwawezesha kuishi.
Tanzania iko katika mchakato wa kupaata katiba mpya, na mwezi wa nne katiba pendekezwa kwa mujibu wa sheria itapigiwa kura ya NDIYO/HAPANA.
Swali langu ni je, watanzania wangapi wameipata katiba pendekezwa na kuisoma?, na je serikali imeielimisha jamii kuhusu katiba pendekezwa, na je serikali imefanya jitihada gani kuhakikisha wananchi wanapata nakala ya katiba pendekezwa na kuisoma?
Na je, katiba pendekezwa imekidhi mahitaji ya watanzania?
Nini mtizamo wako juu ya swala hili kwa kuzingatia kuwa katiba ni mali ya wananchi wote na si kikundi cha watu wachache?
Tanzania iko katika mchakato wa kupaata katiba mpya, na mwezi wa nne katiba pendekezwa kwa mujibu wa sheria itapigiwa kura ya NDIYO/HAPANA.
Swali langu ni je, watanzania wangapi wameipata katiba pendekezwa na kuisoma?, na je serikali imeielimisha jamii kuhusu katiba pendekezwa, na je serikali imefanya jitihada gani kuhakikisha wananchi wanapata nakala ya katiba pendekezwa na kuisoma?
Na je, katiba pendekezwa imekidhi mahitaji ya watanzania?
Nini mtizamo wako juu ya swala hili kwa kuzingatia kuwa katiba ni mali ya wananchi wote na si kikundi cha watu wachache?