Je, Joseph Mbilinyi (Sugu) anaweza kufungwa?

Godbless J Lema,
Utii wa sheria na nidhamu ya kizalendo unatafasiriwa kama uoga na wanasiasa wenye uchu wa madaraka.Madhara ya kutotii sheria na maandamano yasionatija yana madhara makubwa kwa maisha ya watu na uchumi wa nchi.Ikumbukwe kuna wananchi walitopeza maisha kwenye siasa hizi uchwara na zenye ulaghai zinazohasisiwa kwenye nchi za maghari.Leo hii wachochezi wanaponda maisha na familia zao huku zile familia zilizoangamia zikibaki zinalia na kusaga meno.
 
aliyoongea sugu ni ya uongo thibitisha tu hilo, mtu na akili zako huwezi ukazusha uwongo, watu wote tunaona na kusikia, na hakuna lolote linaloshughulikiwa, mtu ananyooshea mwenzake bastola kutishia kuua, hamjatupa majibu mpaka leo, katokea nabiii tito, hao ndio mnatoa matamko ya kumkamata, sawa lisu mtasema wasiojulikana na aliyomnyooshea nape nae hajulikani kweli? unajua kuna mambo ukifikiria yanavyotendekea unajikuta unakufuru kuwa kwanini mzazi wangu asingenichomoa tu nikiwa tumboni au baba angevaa soksi wakati ninatafutwa na unajikuta kwanini umekuja duniani,
 
Hata hawa wanaoshtakiwa walipaswa kutumia busara na Hekima kwenye matamshi yao wakati wa Mkutani
Ukiwa mtu mzima huwezi kubishana na watoto. Kiongozi lazima awe mfano, tumeona Raisi Mstaafu, alikua hana muda na mambo ya kipuuzi kama haya. Kiongozi unapaswa kushughulika na mambo makubwa zaidi ya haya, huu ni mtazamo wangu tu i stand to be corrected.
 
Labda cha kujiuliza ni kwa nini siasa zinatugawa leo .......... watu wale wale, siasa zile zile............ tatizo liko wapi!!?
 
Wananchi nao wamejaa ujinga,mambo ya ajabu yanaendelea nchi hii wako kimya tu. Wanasubiri Lema,Mbowe na Msigwa wawasemee. Eti siku hizi wanamtumia Mange Kimambi "Hide my ID" this is shithole country
Unafikiri wananchi waleo wanadanganyika na siasa za kijinga,
Japo wengi wao huwazania hawana elimu lakini wamejifunza kupitia mataifa yaliyo uza amani kwa wanasiasa wajinga.
 
Hayo ni maono au ndoto?
Siasa za matusi hazina nafasi kipindi hiki
.Na siyo kwamba watanzania ni waoga, hapana
Siyo wapinzani au wananchi, sote tulimuomba Mungu tupate Rais jasiri, asiyependa rushwa
Asiye mzururaji
Mwenye kiu ya maendeleo,Naam tulipigia kura mabadiliko!

Ushauri kwa upinzani
Hubirini maendeleo, hizi person attack ni siasa za kishamba, mmepewa halmashauri, ni kipi cha maana mlichofanya kama mbadala wa ccm?
Msipobadilika, nature itawabadilisha
Tukutane 2020
 
Hivi nchi inasonga kwa kuwafunga wapinzani? Hivi nchi inasonga mbele kwa kuleta hofu kwa watu unaowaongoza? Hivi nchi inasonga kwa hakimu kuweka sheria pembeni na kufuata maagizo toka juu? Hivi nchi inasonga kwa kuwa na kesi nyingi mahakamani? Hivi nchi inasonga kwa kutofuata sheria zilizopo? Kama hivyo ndivyo, tuendako ni pabaya zaidi.
 
Tupe option Kama kiongozi siyo kulalamika lalamika, halafu nawashauri mbadirishe aina ya siasa kwa nyakati tuliyojayo , coz wakati siyo wa jk , huu ninwakati wa undava undava ..!!
Mawazo ya Lema ni food for thought. Tujadili na tupate a way forward pamoja sio yeye aseme tu.
 
Hapo nimedaka neno:-
Demokarisa inaposhindwa ni Taifa limeshindwa.
 
Kila jambo linalotokea ktk maisha yetu ni ruksa inayotokana na hiari ya maamuzi yetu, kwani kushindwa au kushinda kwa jambo lolote hakutokani na uwezo wa maadui zetu bali maamuzi yetu na mtazamo katika mambo mbali mbali.
This too shall pass
 
Pole Sugu walikutafuta sana sasa wamekupata lengo jimbo liwe la Tulia hilo!! Jipange omba Mungu kinachokuja sio kizuri!! Nimeliona hilo
 
umefika wakati wa kuweka uoga pembeni na kupambana mpaka kieleweke. Watanzania tunapelekwa kwenye mapambano bila kutaka wala kupenda. lakini hatuna kingine cha kufanya. tujiandae kisaikolojia.
 
MUNGU ndiye aruhusuye matukio yote kwa makusudi maalumu... Yesu aliwaambia mahakimu watoe hukumu kwa haki bila upendeleo... RAISI wangu atakuwa na maswali mengi sana ya kujibu atakapokutana MUNGU maana hafuati haki...
 
We as a nation will survive!

Time only.

Time will tell.

No permanent situation. Never!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…