Umri siyo kigeo saaaaaaaaaaaaana kivile katika mapenzi,ila inabidi tuuangalie kwa ndoa,mwanaume kwa kawaida anatakiwa kumzidi mkewe kwa umri kwa kama miaka 3-10,hii inatokana na sababu za kibiologia,thus kwa mujubu wa maelezo sidhani kama kunatatizo lolote kuoana na mtu wako,just check other reasons