Vamigo
JF-Expert Member
- Jul 21, 2022
- 415
- 851
Wakuu kwema, naishi nyumban ya kupanga mm na familia yangu, miezi 6 nyuma tumeupokea wageni wa4 wapya hapa tunapo ishi. Baada ya ugeni huo nikaanza kusikia jirani analalamika kuwepo Kwa matukio ya kishirikina mala mtu kusikika anatembea juu ya bati, mwingine akadai alikuta kachanjwa chale.
Juzi wakati nimelala saa 7:40 usiku nikasikia kitu kinatenbea juu ya batikishindo nicha wastani, Kwakua palikua tulivu nikawaza pengine ni ndege au paka wanatembea huko maana hapa pia Kuna paka hua inavizia na kuingia ndani ya Fens kula mabako ya vyakula.
Leo nilikua nahisi jasho wakati najifuta futa jasho nikapifisha mkono mgogoni chini ya bega la kulia nikatoka na ngozi nikawaza Nini hiki ni ki barango au vip baadae nikanikagua nikakutana na mkwaruzo hii ambayo sijui nilipata pataje.
Em wajuzi nambieni kama hiki kinaweza kua ni chale au ni kipi na kipi nifanye maana nina siku siendi kanisani Wala sijawahi kwenda Kwa mganga ila nina weza kwenda kama itani bidi.
Juzi wakati nimelala saa 7:40 usiku nikasikia kitu kinatenbea juu ya batikishindo nicha wastani, Kwakua palikua tulivu nikawaza pengine ni ndege au paka wanatembea huko maana hapa pia Kuna paka hua inavizia na kuingia ndani ya Fens kula mabako ya vyakula.
Leo nilikua nahisi jasho wakati najifuta futa jasho nikapifisha mkono mgogoni chini ya bega la kulia nikatoka na ngozi nikawaza Nini hiki ni ki barango au vip baadae nikanikagua nikakutana na mkwaruzo hii ambayo sijui nilipata pataje.
Em wajuzi nambieni kama hiki kinaweza kua ni chale au ni kipi na kipi nifanye maana nina siku siendi kanisani Wala sijawahi kwenda Kwa mganga ila nina weza kwenda kama itani bidi.