Je, hizi ndio tabia za wanawake?

oa mwanamke upweke mbaya sana hao watoto ni wakubwa. utaepuka magonjwa coz najua mpaka sasa kuna sehemu unapeleka genye zako. uongo?
 
Pole ndugu kwa yaliyokufika. Usiache kumuomba Mungu azidi kukusaidia kwenye malezi ya hao watoto.
Ni kweli wanawake wanapenda sana maneno ya kuambiwa.
Ningependa wanawake mmbadilike katika hili. Mnaharibu familia na males I kwa maneno ya kipuuzi.
 
Watu hawafanani! Tafuta mke uoe, mweleze ukweli kuhusu familia yako, naamini utapata mke mwema . Hao watoto uwe nao karibu ili hata ikitokea shida wakueleze.
 
Mkuu Moja Ya Sababu Za Ndoa Kuvunjika Chini Ya Kifungu 107(2) Ya Sheria Ya Ndoa Ya Mwaka 1971 Ni Kutelekeza (Wilful Neglect Au Desertion).
She Deserted You.Miaka Miwili Imepita Since Amekukimbia. Apo Nenda Conciliation Board Ataitwa Akiitwa Mkishindwana Bodi Wanakupa Certificate Kua Ndoa Imeshindikana Na Wameshindwa Kutatua Mgogoro. Baada Ya Hapo Tunaapply For Divorce Very Easily. I Wish I Was A Real Advocate. But Am On My Way.


All The Best Mkuu.
 
Miaka 8 bado unamfikiria tu? Yani huyu hata akirudi hatokuwa kama alivyokuwa mwanzo.
 
sio tabia za wanawake wte. pole sna ndugu ila ungejaribu tena kumsihi arudi mlee familia. huenda this time atakuelewa.
 
Pole ndugu kwa yaliyokufika. Usiache kumuomba Mungu azidi kukusaidia kwenye malezi ya hao watoto.
Ni kweli wanawake wanapenda sana maneno ya kuambiwa.
Ningependa wanawake mmbadilike katika hili. Mnaharibu familia na males I kwa maneno ya kipuuzi.
Nashukuru mkuu kwa ushauri mzuri
 
sio tabia za wanawake wte. pole sna ndugu ila ungejaribu tena kumsihi arudi mlee familia. huenda this time atakuelewa.
Nimejaribu kila mbinu ya kumfanya arudi, imeshindikana na ndo maana nimeamua kuleta huu uzi humu jukwaani ili nipate msaada wa ushauri
 
Miaka 8 bado unamfikiria tu? Yani huyu hata akirudi hatokuwa kama alivyokuwa mwanzo.
Nimemsubiria muda wote huo nikijua kwamba pengine anaweza badilika, na isitoshe kama ningeoa, basi kile ambacho alikuwa anaambiwa angeamini
 
Thanks mkuu kwa ushauri mzuri
 
Watu hawafanani! Tafuta mke uoe, mweleze ukweli kuhusu familia yako, naamini utapata mke mwema . Hao watoto uwe nao karibu ili hata ikitokea shida wakueleze.
Lakini mkuu, nitajuaje kama huyo ambaye nitaoa ataweza kuwacare vizuri wanangu? Isije ikawa naoa, matatizo ndo akashindwa kuwacare kabisa hao wana,
 
Mi sikushauri uoe kama umeweza kuwalea toka wadogo haina haja ya kuwatafutia mama mwingine. Wanawake sie bana huwa ni kama tunakumbwa na mapepo katika malezi ya watoto wakambo.
 
*WOGA ukiwa mwingi hata BAHATI zako utaziogopa.
*MAWAZO ukiyapa nafasi hata pasipo TATIZO wewe utaona TATIZO TU
*Inabidi uoe tu mkuu mateso hakuna kitakachotokea watoto ni wa kubwa tayari miaka 14 ameshabaleghe na 11 ufahamu ni mkubwa (mateso mengi ni chini ya miaka10)
 
Kingine cha kujifunza sasa hivi mwanamke akisema NO basi hata uje ukoo mzima, familia na viongozi wa dini ataendelea na msimamo wake.
*wabishi sana
*hawaelewi kitu zaidi ya msimamo
*hawarudii matapishi
*endapo atakusamehe/ kusulihishwa na wazee basi atakuja kukulipizia kisasi.
 
Duuu! Nashukuru mkuu!
 
Ok, thanks
 
mkuu lea kwanza wanao wakikuwa wakubwa ndiyo uoe for funny
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…