complexi
Member
- Jul 6, 2021
- 67
- 82
Habarii......natumai kila mtu ni mzima na anaendelea na upambanaji ili kujipatia mkate wa kila siku.
Naombeni msaada wenu kujua kuwa tangazo hili la ajira la TRA ni la kweli maana nilituma maombi na nimejibiwa toka juzi kuwa nimechaguliwa kwenda kwenye usaili..lakini inanihitaji nitoe elfu 35000/=ya maladhi na chakula.
Sasa nashindwa kuelewa kuwa ni la kweli au laah kwasababu naajua humu wapo watu tofautitofauti na wenye ujuzi ya jambi kama hili.
Naombeni msaada wenu kujua kuwa tangazo hili la ajira la TRA ni la kweli maana nilituma maombi na nimejibiwa toka juzi kuwa nimechaguliwa kwenda kwenye usaili..lakini inanihitaji nitoe elfu 35000/=ya maladhi na chakula.
Sasa nashindwa kuelewa kuwa ni la kweli au laah kwasababu naajua humu wapo watu tofautitofauti na wenye ujuzi ya jambi kama hili.