Ulikua na mume au mke wako ukagundua amechepuka na kupata mtoto nje ya ndoa yenu na ukaamua kumuacha.Ukazidisha maombi kwa muumba ili akupatie wa kufanana nawe lakini kila ukionyeshwa na mungu inakuja picha ya yuleyule uliemuacha.Je utamrudia? na je huyo ni chaguo la mungu?