Nimemsikiliza Msigwa akiwa Udom akiwaambia wanachuo kuwa rais ameagiza kuwapelekea wanafunzi wa vyuo vikuu burudani kwa kuwa wanasoma sana.
Nimejiuliza, hivi hili nalo rais kaagiza? Burudani wakati ambao wanafunzi wako bizee na kuandaa UE?
Anaagiza burudani wakati kuna vilio vya haki kila Kona?
Anaagiza burudani wakati kuna vilio vya watu kutekwa na kupotezwa?
Anaagiza burudani, wakati kuna vilio vya tume huru ya Uchaguzi?
Anapati wapi ujasiri wa kuagiza burudani kipindi kigumu hiki?
Nimejiuliza, hivi hili nalo rais kaagiza? Burudani wakati ambao wanafunzi wako bizee na kuandaa UE?
Anaagiza burudani wakati kuna vilio vya haki kila Kona?
Anaagiza burudani wakati kuna vilio vya watu kutekwa na kupotezwa?
Anaagiza burudani, wakati kuna vilio vya tume huru ya Uchaguzi?
Anapati wapi ujasiri wa kuagiza burudani kipindi kigumu hiki?