Je, hii pesa niifanyie nini?

mahadhialy

Member
Joined
Oct 19, 2019
Posts
45
Reaction score
24
Habari zenu wanaJf

Ninapenda kumshukuru Mungu nimefanikiwa kushika mil200 baada ya kufanya biashara ndogo ndogo kwa kila siku nilikuwa naweka 650,000 sasa nimefikia mwaka.

Sasa nataka hii pesa niiwekeze katika sekta ya viwanda sasa naomba msaada kiwanda gani naweza kuanzisha.
 

650k profit kwa day n biashara ndogo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23],acha kuota bwana mdogo
 
Halafu hii ya tech based business nimeiona mara kadhaa humu na sijajua inakuwaje hasa, unaweza kufafanua mkuu?
 
Dah, umenipa mwanga kidogo, thanks man!
 
Kuna aina tatu ya viwanda ambavyo navifanyia utafiti sasa hivi-Kimoja ni Cha Kuprocess mafuta ya Mawese na Kingine ni cha kufanya assembly ya pikipiki na kingine cha kuprocess nafaka.
 
Sijui biashara gani NDOGO inalipa namna hiyo!
 
Ningekushauri uendelee kufanya biashara hizo hizo ndogo ndogo unazosema zimekuletea mafanikio kwani kuwekeza katika shuhuri usiyoielewa unaweza kulizwa big time!!! Haya mambo ya IT waachie wenyewe walizane!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…