GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 63,035
- 126,504
Kwamba ukikutana na Familia ya Watoto kuanzia Watatu kwenda mbele kisha ukagundua Mmoja ya hao Watoto hafanani kabisa Kitabia na Wenzake basi jua ya kwamba huyo ni Mtoto wa Nje na Mama ( Mke ) alishiriki Shindano la Kibaiolojia lisilo rasmi la 'Nje Cup' nikimaanisha alimsaliti Mumewe?