Samireal
Member
- Aug 16, 2015
- 88
- 22
Halafu unakamatwa eti gari ni bovu! Faini juu na hata kuzuiwa kufanya kazi! Je hii ni haki? Hizo picha moja inaonesha gari limekwama na ukiacha na hilo shimo gari lilipokwama kuna mashimo mengine mengi tu ambayo ni makubwa na mengine madogodogo na hiyo picha ya pili inaonesha uterezi barabarani hadi gari limegeuka.