humphrey_on_th_forum
JF-Expert Member
- Jul 28, 2015
- 275
- 222
Habari wana jamvi,
Binafsi juzi nilienda katika maabara moja ili kufanyiwa vipimo, ila alichoniandikia doctor binafsi nilishindwa kukielewa kutokana na jinsi alivyouandika mwandiko wake katika karatasi niliyotakiwa kuipeleka kwa muuzaji wa dawa.
Chakushangaza muuza dawa alielewa kilichoandikwa. Kama kuna aliyeelewa kilichoandikwa kwenye karatasi niliyoiambatanisha tafadhali anijuze!
Binafsi juzi nilienda katika maabara moja ili kufanyiwa vipimo, ila alichoniandikia doctor binafsi nilishindwa kukielewa kutokana na jinsi alivyouandika mwandiko wake katika karatasi niliyotakiwa kuipeleka kwa muuzaji wa dawa.
Chakushangaza muuza dawa alielewa kilichoandikwa. Kama kuna aliyeelewa kilichoandikwa kwenye karatasi niliyoiambatanisha tafadhali anijuze!