MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,011
- 16,748
1. Jipendekeze kwa Rais
2. Msifie Rais hadi Kumkufuru Mungu
3. Mtafute Adui wa Rais kisha uwe unamchafua
4. Jitahidi kila Rais akiwa anasemwa uwe unajitokeza Kumtetea
5. Kila mara sifia Jitihada zake mbalimbali hata kama unajua hakuna moja wapo yenye Umuhimu
6. Ongozwa na Kauli kuwa hakujawahi kutokea Rais kama Yeye
7. Ukikutana nae Mnyenyekee na ukiweza Mlambe hata Miguu yake bila aibu
Namuomba sana Naibu Waziri mpya wa Wizara ya Kilimo baada ya Uteuzi wake asibalike kwa ile Misimamo yake Bungeni.
2. Msifie Rais hadi Kumkufuru Mungu
3. Mtafute Adui wa Rais kisha uwe unamchafua
4. Jitahidi kila Rais akiwa anasemwa uwe unajitokeza Kumtetea
5. Kila mara sifia Jitihada zake mbalimbali hata kama unajua hakuna moja wapo yenye Umuhimu
6. Ongozwa na Kauli kuwa hakujawahi kutokea Rais kama Yeye
7. Ukikutana nae Mnyenyekee na ukiweza Mlambe hata Miguu yake bila aibu
Namuomba sana Naibu Waziri mpya wa Wizara ya Kilimo baada ya Uteuzi wake asibalike kwa ile Misimamo yake Bungeni.