Mzee kwa uzoefu ....hapo katikati kuna mambo mengi yatapita sana kabla ya ninyi kufika hata kwenye uchumba so nenda tu na hali iliyopo sasa hivi...usipate stress sana kuhusu hayo mambo...stress zako elekeza kusoma.....pengine nikwambie tu mimi nimesoma kiasai LAKINI HAMNA KITU KIZURI DUNIANI KAMA KUSOMA.....HAKUNA......HAKUNA KITU KIZURI KAMA KUWA BINADAMU MSOMI...SO SOMA SANA MKUU MENGINE YANAJIPANGA YENYEWE